Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
....Mnhhhh....sio kwa avatar hiyo dahhhh....na mie naomba kizizi kwa mshana....ka mbway na iwe mbway banaaa....mzuri mpaka unakeraaaa
karibu sana ya nn kuteseka unamwambia tuKumbe inawezekana enheee? Basi nisubirie pm kwako najaaaaaaa. ...
Ndio hivyo mkuu,kuna nyuzi ambazo ni maalum kwa kupotezea stress...Ww jamaa nimecheka sana man city vs man u.
na zenyewe zimekumiss pia
Mim namtaka mshana Jr
kwahyo monicca ni mwanaume
Hadharani huwa ni salamu tuu, hakuna Shida.....Siku hizi tunaongelea hadharani...sema shida yako
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Mshana jivutie kwako....
We ndo unajua ha ha haMshana jivutie kwako....
mie hoi kwakoacha kuteseka mfate tu pm au mtaje tu kabisa ajue
mie zaidi babemie hoi kwako
Sijui kama ndicho ulichokusudia ama ni typing error, lakini nimekuelewa sana.Kweli ni ngumu mwanaume kumface mwanaume mwenzake na kumuambia anataka kugegedwa.
.....na mimi monica..........!!!!!!Mim namtaka mshana Jr
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]Pole kwa majukumu ndug. Mshana Jr.
Nakuandikia maandiko haya kufuatia hali yangu kuwa taabani kwa mmoja wa members wa jukwaa la MMU.
Lengo la maandiko haya nikukutaka unipatie mitishamba ambayo itanipa ujasiri wa kumface mlengwa au kupata utaalum wa kumvuta aje mwenyewe.
Naamini nimefanikiwa.
Wasalaaam,
ndimi moniccca!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana jivutie kwako....