Barua ya wazi kwa mshana Jr

Nakweli,..ila kwa monicca sijui kama ataweza,...
Hilo neno la sijui kama ataweza linamkatisha tamaa sana. Naomba mumwache ili anufaike. Ujue hiyo tiba inapatikana kwa bei mbaya sana ila hapa nimeamua kumsaidia bureee bila masharti!
 

Hiyo njia ya mitishamba ili upate ujasili wa kumface ni nzuri zaidi kuliko hiyo ya kumvuta aje mwenyewe, kwani akija mwenyewe atakuwa kama zezeta/ zuzu.
 
Hilo neno la sijui kama ataweza linamkatisha tamaa sana. Naomba mumwache ili anufaike. Ujue hiyo tiba inapatikana kwa bei mbaya sana ila hapa nimeamua kumsaidia bureee bila masharti!
Duhhh,....[emoji15] [emoji15] [emoji15] ,..hapo kwenye bei mbaya,....alafu msaada wa bureee bila masharti,...usijekuta unamseti aje kwakwo bila kujua[emoji85]
 
Hiyo njia ya mitishamba ili upate ujasili wa kumface ni nzuri zaidi kuliko hiyo ya kumvuta aje mwenyewe, kwani akija mwenyewe atakuwa kama zezeta/ zuzu.
Nadhani zote nisawa tu,...mana hiyo ya ujasiri lazima imfanye zuzu ili akubali,...vivyo hivyo kwa hiyo yakumvuta,.....kikubwa hapo ni matokeo ya yeye kufanikiwa adhima yake,....njia ya kupita ndio shughuli[emoji1] [emoji1]
 
Mshana Jr, tumia software tofauti moniccca akufwate wewe badala ya jamaa kumfuata yeye.
 
Duhhh,....[emoji15] [emoji15] [emoji15] ,..hapo kwenye bei mbaya,....alafu msaada wa bureee bila masharti,...usijekuta unamseti aje kwakwo bila kujua[emoji85]
Jamani hebu muacheni monicca atulize mtima wake. Mbona mnamtisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…