Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe: CHADEMA Isikubali kuonewa

Kwenye maisha kila mtu ana power ya kurisk anavyoweza.

The more the risks, the more the rewards.

Mnyika wa 2010 siyo Mnyika wa 2020. Sasa hivi ni tajiri, hayuko tayari kufia uwanja wa mapambano wakati ameshapata maisha.

Zitto wa 2005 siyo Zitto wa 2020, sasa hivi ni tajiri na ana familia. Anachukua risks kwa tahadhali siyo kama enzi hizo.

Mbowe anaijua nguvu ya Dola, anajitahidi sana kufanya marishiano ya tahadhali ili aendelee kunufaika.

Mwaka 2010-2015, CDM ilikuwa inapata zaidibya 300M kila mwezi kwa miaka 5.

Mwaka 2015-2020, CDM imechuma 450M kila mwezi kwa miaka 5 ambazo ni kodi za Walalahoi bila JASHO.

Kwanini Mbowe asikipambanie chama chake kwa manufaa yake. Hata Mrema ambaye mara kibao yuko kwenye majukwaa ya CCM hawezi kutekeleza chama chake.

Mboww hawezi kurushiwa risasi eti kwasababu anapambania vijana hawana AJIRA, watu wamedhulumiwa ARDHI, KODI au wanawake hawana MAJI.

Ukioona anapambania kitu katikati ya hatari ya risasi ni lazima itakuwa inahusu MASLAHI yake kama Masuala ya UCHAGUZI kuporwa, kunyimwa fomu za Kugombea au Mikutano yake ya kisiasa KUZUIWA.

Kama wanasiasa wanacyoangalia mambo yao, sioni sababu ya mtu mwingine yoyote na yeye kutoangalia mambo yake.
 
Duh! The voice of the oppressed - the lumpen proletarian. We have nothing to lose but our chains. Excellent advise.
 
Itabidi nikujibu, lakini siyo sasa.
Ulichoelezea hapa ndio makosa makubwa yanayofanyika na sasa ndio imekubalika kwamba ndiyo siasa.Pamoja na kukubaliana na wewe kwamba watu wanaojitambulisha kuwa wanasiasa Tanzania kwamba msukumo wao ni hayo manufaa unayoyaelezea, lakini sikubali kwamba kila anayeingia kwenye siasa msukumo ni kunufaika binafsi.

Akina Nyerer hawakusukumwa na hayo unayoyaeleza hapa. Ninakushangaa sana kwamba haya ndiyo mategemeo yako kwa wanasiasa.

Ngoja nikuache kwanza.
 
Nina jibu fupi litakaloridhisha dhana yako hii potofu uliyoelezea hapa juu.

Watu kama wewe ndio mliojazana huko CCM wakati huu, na hawa ndio unaowaelezea hapa vizuri sana.

Hatuna wana siasa huko ndani ya CCM, tuna walaji tu ndiyo sababu hawataki pawepo na usawa katika kushawishi wananchi wapewe ridhaa ya kuongoza.

Hapa unapomsemea Mbowe, sijui kama uliwahi kukaa na Mbowe na hao akina Mnyika wakakueleza hayo uliyoeleza hapa, au unayazungumzia kwa uzoefu wako ndani ya chama cha CCM?

Basi na hata ikiwa hawa wanapigania maslahi yao, ni bora tuwaunge mkono ili na wao wakaonje utamu mliouzoea huko CCM, kwa sabau hamna hati ya kumiliki utamu huo peke yenu.

Inatosha. Ukitaka kuelewa uelewe, usipotaka basi hiyo ni juu yako. In fact umeni'disappoint' sana wewe mzee na mawazo ya aina hiyo.
 
Naona Samia anaingia katika mtego wa CHADEMA

CHADEMA washikilie hapohapo, waendelee kuitisha makongamano na mikutano, wakikamatwa na kuonewa na polisi bado ni news na inawapa wananchi sababu ya kujua kwa nini wanakamatwa na kuonewa.

Chadema isipoe iendelee kuandaa haya makongamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…