Barua ya Wazi kwa Rais Kikwete Kuhusu Zimbabwe

Mwanakijiji,

Inaonekana huyu kijana ana kiburi na ujeuri wa makusudi, kuwalinda wahalifu na marafiki zake, kama anashindwa kukemea chochote bongo basi Zimbabwe itakuwa ni sikio la kufa kwake.

Gm

Kila jambo lina wito wake na kushindwa kufanya jambo moja haina maana ushindwe kufanya jingine. Kama Kikwete hana uwezo wa kusimamia mambo mbalimbali aliutaka Urais wa nini? Kama asingekuwa na uwezo au nia ya kushughulikia matatizo ya Afrika (kwa vile ya kwetu yanamtatiza) kwanini basi alikubali kuwa Mwenyekiti wa AU?

Suala la Zimbabwe ni nyeti na zito kweli na linahitaji ujasiri wa hali ya juu kuanza kulishughulikia.
 
Bravo MKJJ.

Hii forum inazidi kuweka msisitizo. Please JK seaze this moment to show leadership..tafadhali onyesha njia kwa vitendo tumzuie huyu mzee Mugabe asiendelee kuangamiza watu na taifa la zimbabwe.

Kama Tanzania, wakati huo ikiwa taifa changa kabisa na masikini iliweza kuvunja uhusiano wa kibalozi na Uingereza pale Ian Smith na ma settler wenzie walipotangaza UDI (NOV 1965). Nini kinainyamanzisha Tanzania ya leo miaka arobaini baadaye?

JK if this was another country, 'the leader' would have recognized this historical moment to establish his credentials as a stateman of substance and JK history will record you as such, the person who put an end to the suffering of zimbabweans. By doing that you will have jumped the que of african leaders in waiting to inherit the mantle of statemanship from the great man himself Nelson Mandela. JK kama washauri wako hawajakuambia hili, basi wakati wao wa kujiuzuru umewadia as they say since yesterday!

If Tanzania as the chair of AU took this opportunity to sever diplomatic ties with Harare, other African countries will follow suit ( sure you can mobilize this). Mugabe has already extingushed whatever little international standing he has hence he is not in a position to launch any significant diplomatic offensive.

JK huyu mzee kwanini viongozi wa Africa mnamlinda? JK utajivunia mafanikio yapi ya uenyekiti wako wa AU? Tafadhali tuondolee aibu hii ya Mugabe. Is it because of the 'jinamizi la uchaguzi wa zanzibar? well you may be pleased to know that 'two wrongs dont make a right'. Halfu Mugabe ana jeuri ya kusema akishindwa uchaguzi, maveterani wako tiyari kumpigania. Busara gani hizi za mzee wa zaidi ya miaka themanini? After rwanda we said 'Never Again' (Darfur proved us wrong, and zimbabwe if we are not careful is sliding towards exactly that! JK kama chair wa AU, unaangalia tu! Ama tunasubiri hadi Marekani watume majeshi yao, and then do what we do best kulalamikia mataifa makubwa kuingilia mambo yasiyo yao?

Time is of essence. mnasubiri mpaka watu wangapi wafe? mpaka watu wangapi wakatwe mapanga? hii siyo bahati nasibu kusema kwamba 'mtu wa 1000 kukatwa panga tunavunja uhusiano wa kibalozi'

Kumuenzi baba wa Taifa ni pamoja na kufuata maadili yake (principles) katika nyanja ya siasa za kimataifa. Next time Mugabe shows up in Dar moja kwa moja Keko! Thats what the Americans did with Gen Antonio Manuel Noriega of Panama yet makosa yake hayakuwa mazito kama haya ya 'comrade' Mugabe.
Adios.
 
Four MDC youth activists found dead near Harare
Times Online
June 19, 2008


Robert Mugabe na genge lake la wahuni lazima washitakiwe.
 
It is about time to the West should start declaring certain individuals in Zimbabwe armed forces as war criminals. Na kama alivyofanyiwa Slobodan Milosevic saa ya Mugabe nayo inafuatia. Huwezi kuwatenda watu wako hivyo na ukaendelea kutawala.
 


Matatizo ya Zimbabwe yamesababishwa na Mugabe, period. Alianza kufanya unyama dhidi ya Matabele kwa vile walikuwa wako upande wa Joshua Nkomo. Aliwakumbatia veterans alipoona wameanza kumhoji kwa nini anawapendelea watu ambao hawakuhusika na mapambano, hususan, mke wake Grace. Si tu aliwanyang'anya mashamba bali aliwaondoa wazimbabwe weusi waliokuwa wakifanya kazi na kuishi kwenye mashamba hayo na kuwapa cronies wake ambao hawana utaalam wa kilimo. Wakati wa visingizio umekwisha. Matatizo haya ameyaleta mtu mweusi mwenzetu. Tusimuonee haya.

Nyerere alisimama kidede kumpinga Idi Amin hata pale wenzake walipompa uenyekiti wa O.A.U! laiti Idi Amin angechukua nchi wakati huu, bila shaka angeendelea kupeta!

Ni hawa viongozi wetu wakati wenzetu wanauawa huko Darfur walikuwa karibu wampe uenyekiti wa A.U. rais wa Sudan. Mpaka hapo tutakapoweza kusimama na kuwekana sawa wenyewe dunia itaendelea kutuona ni vikaragosi!

Mungu alinusuru bara letu. Mungu awanusuru wazimbabwe. Kama alivyosema Robert Nesta Marley " Afrika liberate Zimbabwe....."
 
Mwanakijiji thanks for your letter. I believe it will make a difference. I know, critics might say its nothing, but this shows how most of us are just concerned with humanity. What is happening in Zim is deplorable. It is what makes Africa what it is today, a cursed and hopeless continent. Perhaps you could explore sending it to him to the State House and print it through magazeti.

Kwa kweli Mugabe sijui tumfanye nini. I just dont get it, killing and torturing your own people simple because they dont agree with you!
 


Fundi, we have wrote countless of times here..the worst enemy of Africa are Africans. Huna haja ya kuanza kurevisit history. Facts are out there for everybody to see..anayekubali au anayekataa..mwache. Ila Mugabe anapigana na Ukuta! No society can suffer permanently!
 

People have short memories. Some were not even around when all these were happening. Hence the need to keep reminding them of our history. As we used to say......Aluta Continua!
 
Mwanakijiji,

Utajibiwa Na Salva,Ndiyo kazi yake kwa sasa na Muungwana amebakia kusoma hotuba za sherehe na kusafiri,Mie nadhani uitume kwa E-mail ya Salva.Na ni mmoja wa watu wanaopita sana hapa JF na kusoma
 
It is about time to the West should start declaring certain individuals in Zimbabwe armed forces as war criminals. Na kama alivyofanyiwa Slobodan Milosevic saa ya Mugabe nayo inafuatia. Huwezi kuwatenda watu wako hivyo na ukaendelea kutawala.
MWanakiji Milosevic na Mugabe ni mambo mawili tofauti,Mie Mugane kwa upande mmoja simuungi mkono,hasa katika mambo yanayohusu kuendeleza Uchumi wa Nchi ya wazimbabwe.

Ila suala la Kuachia Vibaraka wa mataifa ya nje waje waongoze nchi,Mie naungana na Mugabe,Kina Morgan wanatumiwa na kupewa pesa na Wazungu walionyang'anywa mashamba ili wamuondoe Mugabe,thus why Mugabe is Not ready to leave the country to people who are being used by white people.

For my opinion i think Mugabe is Ready to step down,but not to leave the country for the people who doesnt know the reason for fighting for Zim Independence.
 
Mwanakijiji hayo yote uliyoyandika ni ya kweli lakini anuani ulikoituma siko.Kwani huyo Mh.Rais kwa mambo yanavyokwenda kwa CCM na serikali kupoteza dira na kuendelea kuvulunda kila siku kwa kashifa za WIZI NA UFISADI .Matokeo yake kupoteza imani kwa wananchi tusije tukashangaa katika uchaguzi ujao baada ya Mh.Rais kushindwa akageuka Mugabe au Mwai Kibaki hii ndio sababu kubwa inayomfanya kua kimya katika matukio ya Kenya na Zimbabwe.Kunawakati nilichukizwa na baadhi viongozi na magazeti ya nchi za magharibi yalipouita umoja wa nchi huru za Afrika"klabu ya madikteta"Kwa sasa nakubaliana na kauli zao viongozi wengi wa hizi nchi zetu hawatafautiani na Mugabe hivyo wakati wote ulindana lengo lao kubwa ni kua madarakani milele au kuiba fedha za walalahoi katika kipindi kifupi na kuondoka madarakani na kupumzika na kula pesa yako kama ilivyokua kwa Rais wa awamu ya tatu Mkapa Mwanakijiji huu ndio ukweli.MUNGU IBARIKI AFRIKA.
 
Mimi nadhani kuna haja ya barua nyingine ya kumtaka Rais wetu asifanye mambo kwa shinikizo la watu wa nje ....in this case Non-africans! ....we want to keep our sovereignty, including our foreign policy sovereignty. Mambo ya kupata viamri kutoka kwa visketi pale State D au Waziri Mkuu bila kura yoyote pale ulaya, hatutaki....hatutaki kabisa. Kama ana madeni nao kwa namna yoyote yatakayomfanya ashindwe kutete maslahi yetu, aachie ngazi kistaarabu, asituingize wote kwenye matatizo.

Kujenga ni kazi lakini kubomoa ni rahisi.
 
Dua! Na bado watu wanamtetea huyu dikteta! Ati wasituingilie kwenye uhuru wetu kama waafrika! Uhuru wa kuwafanyia wenzetu haya?
 
Huyu ni sawa na wakina Bizmungu tuu kwani anawaumiza watu wake kwa ajili ya kuhakikisha kuwa anaendelea kubakia madarakani huu ni udhalimu wa hali ya juu na wafaa kupingwa na kila mtanzania mwenye mapenzi mema na waafrika wenzake.

Haiwezekani huyu kuumiza watu ili yeye aendelee kuwepo madarakani.

Nimeongea na mwenyekiti wa vijana wa MDC bwana Washington Katema kaniambia kuwa hali ni mbaya sana na haswa vijijini kwani watu wanateswa na kuteseka sana sana .

Tushikamame na kuwasaidia dhidi ya mkoloni mweusi kama tulivyofanya kwa mkoloni mweupe.
 
Milosevic na Mugabe wako sawasawa.. wote wawili waliongozwa na twisted sense of nationalism. Wote wawili waliamini kuwa wao ni baraka ya Mungu kwa watu wao kiasi kwamba walitaka kufanya lolote lile kama wapendavyo. Milosevic alikuwa ni chinjachinja wa Balkani, na sasa Mugabe amegeuka kuwa china china mpya wa Afrika!
 
MDC the main culprit in Zimbabwe violence: police

[-] Text [+] HARARE (Reuters) - Zimbabwe's police have arrested 390 opposition supporters and 156 members of the ruling party over violence since elections in March, the police chief said on Friday, blaming the opposition for most of the trouble.

The opposition Movement for Democratic Change (MDC), Western countries and human rights groups accuse President Robert Mugabe's ruling ZANU-PF of a campaign of violence ahead of a June 27 presidential election run-off.

"It is without doubt that between the two political parties ... the MDC is the main culprit in the political violence that we are currently witnessing in the country," police chief Augustine Chihuri told reporters

source:http://africa.reuters.com/wire/news/usnL20723866.html
 
Bunge Backs Tough Stand On Zimbabwe






A torture victim is given treatment for his burns in a hospital in Harare, Zimbabwe. He was set on fire by suspected Zanu PF militia



Assassins Aim at Zimbabwe Opposition

http://graphics8.nytimes.com/images/2008/06/22/world/22zimbabwe-span-600.jpg[/img[/CENTER]]

[quote="Tsvangirayi Mukwazhi, post: Associated Press"][size=3]

The killing of scores of opposition party workers has turned funerals, like that of Tonderai Ndira, in Harare, into political rallies.

There were rumors his name was on a hit list. For weeks he prudently hid out, but his wife, Plaxedess, desperately pleaded with him to come home for a night. He slipped back to his family on May 12. The five killers pushed through the door soon after dawn, as Mr. Ndira, 30, slept and his wife made porridge for their two children. He was wrenched from his bed, roughed up and stuffed into the back seat of a double-cab Toyota pickup. "They're going to kill me," he cried, Plaxedess said. As the children watched from the door, two men sat on his back, a gag was shoved in his mouth and his head was yanked upward, a technique of asphyxiation later presumed in a physician's post mortem to be the cause of death..............[/size][/quote]

[B][SIZE="4"][COLOR="Lime"]Killer Robert Mugabe anataka kuongoza vipofu na walioungua na moto ambao hawawezi kukaa chini.[/COLOR][/SIZE][/B]​
 
 

Mkuu...

Na suala la ardhi kwa weusi nalo si la kupuuzia ni haki yao kumiliki ardhi katika nchi yao!..fikiria uko katika nchi yako halafu robo tatu ya ardhi yenye rutuba inamilikiwa na wazungu!!! halafu kiongozi wenu akitaka kukugawieni ardhi yenu mliyonyag'anywa wakati wa ukoloni UK na Marekani inawawekea vikwazo.!!!!

-Wembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…