Barua ya wazi kwa Robatinyo

Kuna mambo ya Maana sana ya kuyajadili.


1. Uuzwaji wa Mabasi na magari kiholela, kwanini wasiwape MASHABIKI Ile Gali kulitumia kusafiria mikoani wakawa wanajichanga Hela zinaenda kwenye Club

2. Magori ya kizembe sana Anayofungwa Manura.

3. Injury za wachezaji Muhimu.
Maendeleo ya Inonga na Phili.

4. Wachezaji Mizigo kama kanute kupunguza mirafu yake
Kukosekana kwa wachezaji zaidi ya Saba.

5 kuelekea uchaguzi mkuu Simba nk
Mapato ya Club kwa Mwaka...
JE yabafanya nini nk nk

6. Usajili mbovu wa Dirisha dogo kuwakosa wachezaji wazuri.


SEMA WENGI AKILI ZETU NI MUFILISI.
 
Wapo bize na Feisal Salum Fei Toto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…