Kwa waheshimiwa
Dr. Shukuru Kawambwa
Hawa Ghasia
Jenista Mhagama
Agrey Mwandry
Kasim Majaliwa
Kwa kweli imebidi sasa waalimu wa manispaa ya moshi tuanze kupaza sauti zetu kwa namna yeyote ile iwayo hadi hapo tume huru ya uchunguzi itakapokuja hapa moshi kumchunguza huyu afisa elimu msing wa manispaa ya moshi.
Sasa ni upendeleo kwa baadhi ya walimu anaowataka. Ana walimu wa mgongoni na wa tumboni. · Ngono mtindo mmoja njooni shule ya msiingi J. K nyerere, muoneni kwa macho. Shule za msing rau, na sokoine wakuu wa shule wanabadilishwa kama karata.
Ukaguzi ulifika shule ya msingi sokoine na waligundua mkuu wa shule hana uwezo wa kuongoza, kioja ni kwamba afisa elimu alimwamisha mkuu huyo wa sokoine ambaye shule yake ilikuwa inapumulia mashine akambadilisha na mkuu wa shule ya rau. Sasa sijui anataka shule ya msingi Rau nayo ikafe tena au?. · Afisa elimu amekuwa anachangisha waalimu wakuu michango ili ambayo anaitumia kujengea nyumba yake. nyumba anayoijenga ni kubwa sana na ipo maeneo ya msaranga (tume ichunguze kipato chake na kama ana mkopo benki ili ione maajabu ya nyumba hiyo/tumechoka kuchangishwa wakati sisi wengine hata kiwanja hatuna).
Mbadhirifu wa mali za umma. Amegeuza kituo cha walimu mawenzi kuwa tuitisheni center, kituo ni kwa ajili ya walimu kujiendeleza inakuwaje anafanya kituo tuitisheni center. · Ana upendeleo.bimbalirwa amekuwambaguzi na mpendeleaji wa walimu sana, hataki walimu wakasome,ila anawapa wengine upendeleo wanaenda kusoma wakiwa wanashikilia nafasi zao za ukuu wa shule au uratibi .fano hai ni mwaka juzi alimruhusu mratibu mmoja mwanamke jina tunalo akaenda kusoma kwa muda wa miaka miwili bila nafasi yake kupewa mtu hadi alipomaliza na kurudi kwenye nafasi ile ile na eneo lilile.
Huu ni upendeleo wa dhat mtu anakuwa nje ya kituo kwa miaka miwili na nafasi yake inabakia vilevile,angali wengine tukiomba tunakataliwa.hata evening program za waalimu kujiendeleza aezikataza na nakala ya barua za kukataza walimu wasisome tumeiweka kwenye mitandao ya kijamii ambayop ameisaini yeye nwenyewe kama mkuu wa idara. · Kituo cha walimu cha mawenzi kimekuwa kitega uchumi chake. Kimefanywa tuition center badala ya kituo cha walimu kujiendeleza.
Afisa elimu manispaa ya moshi idara ya msingi, upo usanii ambao huwa anautumiaga sana kipindi cha mitiani ya taifa ili manispaa ya moshi iendelee kuwa ya kwanza angali watoto hawana uwezo huo.anajua fika yakwamba manispaa ikishakuwa ya kwanza hataweza kuhamishwa.walimu wanaopangwa kusimamia mtihani huwa huwa wakifika kwenye kituo cha kusimamia wanapewa hela na mkuu wa shule husika ili awaachie wanafunzi wajadili na wawe huru kusaidiana wenyewe kwa wenyewe .ndio maana unakuta mkondo mzima unafaulu.
Anafanikiwa kufanya hili kwa kuwa amekuwa anawabakisha wakuu wa shule wabaki mashuleni siku ya mtihani ili waweze kuwapa wasimamizi hela mapema walegezee watoto uzi. Msimamizi anakuwa kazi yake ni kucheki doria nje na sio kusimamia watoto. · Amekuwa anatoa vitisho kwa wakuu wa shule na waratibu. ni hivi karibuni amekuwa na kikao cha kuwatishia waratibu na wakuu wa shule endapo manispaa itaanguka na kushindwa kuwa ya kwanza mwaka huu.
Amekuwa anajitamba mtaani kuwa hakuna mtu wa kuweza kumwamisha manispaa ya moshi labda apende yeye. anasema yeye amepewa uafisa elimu na mama mtukamanzima aliyekuwa wizarani, hivyo hakuna wa kuweza kumtoa. Ombi letu tunaomba kamati maalum ije kuchunguza malalamiko yetu. Huyu ni mbaguzi,mfanya kazi kwa kusikiliza maneno ya pembeni, asiye tenda haki, mla rushwa, mpenda ngono. KAMA HATUA HAZITACHUKULIWA STAHIKI TUTAMWANDIKIA WAZIRI WA ELIMU BARUA AFUATILIE YEYE
Nakala:
Katibu Mkuu/Wizara ya Elimu
Ofisi ya Waziri Mkuu na serikali za mitaa
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro ·
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ·
TAKUKURU, Kilimanjaro
Dr. Shukuru Kawambwa
Hawa Ghasia
Jenista Mhagama
Agrey Mwandry
Kasim Majaliwa
YAH . KUMLALAMIKIA AFISA ELIMU WA SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA MOSHI KWA JINA (D. BIMBALIRWA)
Kwa kweli imebidi sasa waalimu wa manispaa ya moshi tuanze kupaza sauti zetu kwa namna yeyote ile iwayo hadi hapo tume huru ya uchunguzi itakapokuja hapa moshi kumchunguza huyu afisa elimu msing wa manispaa ya moshi.
Sasa ni upendeleo kwa baadhi ya walimu anaowataka. Ana walimu wa mgongoni na wa tumboni. · Ngono mtindo mmoja njooni shule ya msiingi J. K nyerere, muoneni kwa macho. Shule za msing rau, na sokoine wakuu wa shule wanabadilishwa kama karata.
Ukaguzi ulifika shule ya msingi sokoine na waligundua mkuu wa shule hana uwezo wa kuongoza, kioja ni kwamba afisa elimu alimwamisha mkuu huyo wa sokoine ambaye shule yake ilikuwa inapumulia mashine akambadilisha na mkuu wa shule ya rau. Sasa sijui anataka shule ya msingi Rau nayo ikafe tena au?. · Afisa elimu amekuwa anachangisha waalimu wakuu michango ili ambayo anaitumia kujengea nyumba yake. nyumba anayoijenga ni kubwa sana na ipo maeneo ya msaranga (tume ichunguze kipato chake na kama ana mkopo benki ili ione maajabu ya nyumba hiyo/tumechoka kuchangishwa wakati sisi wengine hata kiwanja hatuna).
Mbadhirifu wa mali za umma. Amegeuza kituo cha walimu mawenzi kuwa tuitisheni center, kituo ni kwa ajili ya walimu kujiendeleza inakuwaje anafanya kituo tuitisheni center. · Ana upendeleo.bimbalirwa amekuwambaguzi na mpendeleaji wa walimu sana, hataki walimu wakasome,ila anawapa wengine upendeleo wanaenda kusoma wakiwa wanashikilia nafasi zao za ukuu wa shule au uratibi .fano hai ni mwaka juzi alimruhusu mratibu mmoja mwanamke jina tunalo akaenda kusoma kwa muda wa miaka miwili bila nafasi yake kupewa mtu hadi alipomaliza na kurudi kwenye nafasi ile ile na eneo lilile.
Huu ni upendeleo wa dhat mtu anakuwa nje ya kituo kwa miaka miwili na nafasi yake inabakia vilevile,angali wengine tukiomba tunakataliwa.hata evening program za waalimu kujiendeleza aezikataza na nakala ya barua za kukataza walimu wasisome tumeiweka kwenye mitandao ya kijamii ambayop ameisaini yeye nwenyewe kama mkuu wa idara. · Kituo cha walimu cha mawenzi kimekuwa kitega uchumi chake. Kimefanywa tuition center badala ya kituo cha walimu kujiendeleza.
Afisa elimu manispaa ya moshi idara ya msingi, upo usanii ambao huwa anautumiaga sana kipindi cha mitiani ya taifa ili manispaa ya moshi iendelee kuwa ya kwanza angali watoto hawana uwezo huo.anajua fika yakwamba manispaa ikishakuwa ya kwanza hataweza kuhamishwa.walimu wanaopangwa kusimamia mtihani huwa huwa wakifika kwenye kituo cha kusimamia wanapewa hela na mkuu wa shule husika ili awaachie wanafunzi wajadili na wawe huru kusaidiana wenyewe kwa wenyewe .ndio maana unakuta mkondo mzima unafaulu.
Anafanikiwa kufanya hili kwa kuwa amekuwa anawabakisha wakuu wa shule wabaki mashuleni siku ya mtihani ili waweze kuwapa wasimamizi hela mapema walegezee watoto uzi. Msimamizi anakuwa kazi yake ni kucheki doria nje na sio kusimamia watoto. · Amekuwa anatoa vitisho kwa wakuu wa shule na waratibu. ni hivi karibuni amekuwa na kikao cha kuwatishia waratibu na wakuu wa shule endapo manispaa itaanguka na kushindwa kuwa ya kwanza mwaka huu.
Amekuwa anajitamba mtaani kuwa hakuna mtu wa kuweza kumwamisha manispaa ya moshi labda apende yeye. anasema yeye amepewa uafisa elimu na mama mtukamanzima aliyekuwa wizarani, hivyo hakuna wa kuweza kumtoa. Ombi letu tunaomba kamati maalum ije kuchunguza malalamiko yetu. Huyu ni mbaguzi,mfanya kazi kwa kusikiliza maneno ya pembeni, asiye tenda haki, mla rushwa, mpenda ngono. KAMA HATUA HAZITACHUKULIWA STAHIKI TUTAMWANDIKIA WAZIRI WA ELIMU BARUA AFUATILIE YEYE
Nakala:
Katibu Mkuu/Wizara ya Elimu
Ofisi ya Waziri Mkuu na serikali za mitaa
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro ·
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ·
TAKUKURU, Kilimanjaro