Barua ya wazi kwa Walokole

Barua ya wazi kwa Walokole

Njemba Soro.

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
3,732
Reaction score
6,561
P.O.Box .....

Kwa ustaarabu nasema walokole mnatufedhehesha sisi WAKRISTO. Inakuwaje mtu unaanza kuropoka kwenye bus halafu unalazimisha watu wakupe pesa la si hivyo basi halitofika salama?

WALOKOLE ACHENI UTAPELI.... Nimefurusha tapeli mwenzenu mmoja, Ile ameanza tu kujifanya anaomba nikamkataa.... MADEREVA NA MAKONDAKTA WA MABASI MAKUBWA NAO Wanashirikiana na hawa matapeli walokole.

Tuache ujinga. Ipo siku nitapiga mtu makofi. Leo yule mama nimemuacha ila ikijirudia Kwa yeyote napiga makofi. Serikali imepotea njia. Magufuli kweli tutamkumbuka vizazi viishe.
 
Mimi ni mlokole, ulokole hauna shida.
Mungu wa walokole ana nguvu sana.
Ila kwakuwa ulokole ulikosa base imara ukafungulia njia kwa matapeli na washenzi kuja kujinufaisha.
Hakuna sadaka ya kuweza kumkomboa mtu na baya lolote lililo mbele yake, hakuna sadaka ya kumkomboa mtu kutoka kwenye janga au tatizo lolote .
Ogopa sana wachungaji wa mshahara
 
Mimi ni mlokole, ulokole hauna shida.
Mungu wa walokole ana nguvu sana.
Ila kwakuwa ulokole ulikosa base imara ukafungulia njia kwa matapeli na washenzi kuja kujinufaisha.
Hakuna sadaka ya kuweza kumkomboa mtu na baya lolote lililo mbele yake, hakuna sadaka ya kumkomboa mtu kutoka kwenye janga au tatizo lolote .
Ogopa sana wachungaji wa mshahara
Kumbe Mungu wapo tofauti 😆😆 tofauti
 
Back
Top Bottom