Barua ya wazi kwa wanachama wa JF(msamaha).

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Mimi Baba Morgan mkazi wa Namtumbo nakuja hapa jukwaani jioni hii kwa lengo la kuomba msamaha kwa wale wote nilio watukana, kuwadhihaki na kuwacheka kwenye nyuzi zozote nilizowahi kuanzisha na nyuzi zote nilizowahi kuchangia. Mimi ni binadamu pia kuna muda nafanya makusudi, napitiwa na muda mwingine nakuwa nipo high. Pamoja na yote Mimi Baba Morgan ni gentleman na very humble huwaga sifurahii napo mkwaza mtu. Naombeni msamaha wenu wana JF wenzangu na kuanzia Leo nitakuwa mwanachama mtiifu. Thanks. LIFE IS NOW.
 
Mkuu, statement yako mbona kama umetoa kauli ya mwisho. MhπŸ€”πŸ€”πŸ€”anyway kuomba msamaha pale unapohisi umemkwaza mtu mwingine ndio uungwana, hivyo wengine tujifunze kutoka kwako.
Ubarikiwe mkuu.πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kauli ya mwisho kivipi? Nieleweshe
 
Dah ... Lini umeanza huu ujinga?[emoji56]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…