Barua ya wazi kwako Waziri wa Michezo Prof. Paramagamba Kabudi

Barua ya wazi kwako Waziri wa Michezo Prof. Paramagamba Kabudi

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Barua hii imfikie waziri wa wizara yetu pendwa ya SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO Mh. Paramagamba Kabudi

Kwanza napenda kuipongeza serikali chini ya Mh. Rais Samiah Suluhu kupitia Wizara ya michezo kwa juhudi inazozifanya kuinua Sekta ya michezo nchini, Ahsante sana Mama Samia

Jana wakati natazama mchezo wa NAMUNGO VS SIMBA nilifarijika na kufurahi huku nikibubujikwa na machozi kukuona Mhe Kabudi ukiwa Jukwaani kuangalia game baina ya timu hizi mbili, mwanzo wakati unakabidhiwa wizara nlikuwa na wasiwasi kuwa utaiweza wizara hii ya pilikapilika! lakini jana umeni prove wrong ahsante sana Mhesimiwa

Kwenda kwako uwanjani jana najua umejifunza mengi,hasa hili suala linalopigiwa kelele kila siku,(la waamuzi) na bahati nzuri umeenda uwanjani ukakutana na kubwa kuliko,vibwanga na madudu mazito ya waamuzi nchini. hata wewe ni shahidi ya yaliyotokea jana.

Je, serikali kupitia wizara yako ina mpango/mkakati gani kupata waamuzi waliopikwa na kuiva kuzitumikia taaluma zao?

Naomba kuwasilisha,
holoholo mpenda michezo.
 
Kabla ya kumwandikia barua mh kabudi muandikie barua baba ako umuombe msamaha akufutie laana aliyokupa.
 
Kabla ya kumwandikia barua mh kabudi muandikie barua baba ako umuombe msamaha akufutie laana aliyokupa.
uhalisia wa maisha yangu ni tofauti na ninayoandika humu jf. Wakati mwingine tunaamua kuchukua uhusika ili kufikisha ujumbe kwa jamii ya wengi. Tuendelee na mjadala wetu. gonamwitu
 
Barua hii imfikie waziri wa wizara yetu pendwa ya SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO Mh. Paramagamba Kabudi

Kwanza napenda kuipongeza serikali chini ya Mh. Rais Samiah Suluhu kupitia Wizara ya michezo kwa juhudi inazozifanya kuinua Sekta ya michezo nchini, Ahsante sana Mama Samia

Jana wakati natazama mchezo wa NAMUNGO VS SIMBA nilifarijika na kufurahi huku nikibubujikwa na machozi kukuona Mhe Kabudi ukiwa Jukwaani kuangalia game baina ya timu hizi mbili, mwanzo wakati unakabidhiwa wizara nlikuwa na wasiwasi kuwa utaiweza wizara hii ya pilikapilika! lakini jana umeni prove wrong ahsante sana Mhesimiwa

Kwenda kwako uwanjani jana najua umejifunza mengi,hasa hili suala linalopigiwa kelele kila siku,(la waamuzi) na bahati nzuri umeenda uwanjani ukakutana na kubwa kuliko,vibwanga na madudu mazito ya waamuzi nchini. hata wewe ni shahidi ya yaliyotokea jana.

Je, serikali kupitia wizara yako ina mpango/mkakati gani kupata waamuzi waliopikwa na kuiva kuzitumikia taaluma zao?

Naomba kuwasilisha,
holoholo mpenda michezo.
Mzee wa watu tunamuonea sidhan hata mpira anaujua! hata danadana 2 tokea azaliwe hajawah kupiga, jana pale alikuwa anapiga PR tu hajui chochote kuhusu football🚮🚮
 
Aanze kwanza na sakata la upangaji wa matokeo na mdhamini mmoja kudhamini timu zaidi ya 7 huku akitaka kuona timu moja ikiwa bingwa
 
Aanze kwanza na sakata la upangaji wa matokeo na mdhamini mmoja kudhamini timu zaidi ya 7 huku akitaka kuona timu moja ikiwa bingwa
mkuu, tuanze na waamuzi waamuzi ndio wanatoa taswira na muelekeo wa league yetu.
 
Barua hii imfikie waziri wa wizara yetu pendwa ya SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO Mh. Paramagamba Kabudi

Kwanza napenda kuipongeza serikali chini ya Mh. Rais Samiah Suluhu kupitia Wizara ya michezo kwa juhudi inazozifanya kuinua Sekta ya michezo nchini, Ahsante sana Mama Samia

Jana wakati natazama mchezo wa NAMUNGO VS SIMBA nilifarijika na kufurahi huku nikibubujikwa na machozi kukuona Mhe Kabudi ukiwa Jukwaani kuangalia game baina ya timu hizi mbili, mwanzo wakati unakabidhiwa wizara nlikuwa na wasiwasi kuwa utaiweza wizara hii ya pilikapilika! lakini jana umeni prove wrong ahsante sana Mhesimiwa

Kwenda kwako uwanjani jana najua umejifunza mengi,hasa hili suala linalopigiwa kelele kila siku,(la waamuzi) na bahati nzuri umeenda uwanjani ukakutana na kubwa kuliko,vibwanga na madudu mazito ya waamuzi nchini. hata wewe ni shahidi ya yaliyotokea jana.

Je, serikali kupitia wizara yako ina mpango/mkakati gani kupata waamuzi waliopikwa na kuiva kuzitumikia taaluma zao?

Naomba kuwasilisha,
holoholo mpenda michezo.
HAHAHAHAAAAA

MKUUU AKIHOJIWA AKASHUKURU MUNGU

MCHEZO ULIKUWA MZURI UMEMALIZIKA SALAMA NA ANATAMAN KUONA MCHEZO BORA ZAIDI

AMEFURAHI KUONA MCHEZO WA USHINDAN. PANDE ZOTE MBILIIIIIIIIII

BINAFSI HAKUONA SHIDA YOYOTE ZAIDI YA MAPUNGUFU YA KAWAIDA.......


SASA WAZIRI ANASEMA HAKUKUWA NA SHIDA

SISI NANI TUUMIZE KICHWA MKUUUUU
 
HAHAHAHAAAAA

MKUUU AKIHOJIWA AKASHUKURU MUNGU

MCHEZO ULIKUWA MZURI UMEMALIZIKA SALAMA NA ANATAMAN KUONA MCHEZO BORA ZAIDI

AMEFURAHI KUONA MCHEZO WA USHINDAN. PANDE ZOTE MBILIIIIIIIIII

BINAFSI HAKUONA SHIDA YOYOTE ZAIDI YA MAPUNGUFU YA KAWAIDA.......


SASA WAZIRI ANASEMA HAKUKUWA NA SHIDA

SISI NANI TUUMIZE KICHWA MKUUUUU
SRC
Channel ten
Michezo

0900-1000 am
 
HAHAHAHAAAAA

MKUUU AKIHOJIWA AKASHUKURU MUNGU

MCHEZO ULIKUWA MZURI UMEMALIZIKA SALAMA NA ANATAMAN KUONA MCHEZO BORA ZAIDI

AMEFURAHI KUONA MCHEZO WA USHINDAN. PANDE ZOTE MBILIIIIIIIIII

BINAFSI HAKUONA SHIDA YOYOTE ZAIDI YA MAPUNGUFU YA KAWAIDA.......


SASA WAZIRI ANASEMA HAKUKUWA NA SHIDA

SISI NANI TUUMIZE KICHWA MKUUUUU
majibu mazuri sana ya waziri kwa kulinda taaluma ya waamuzi wa bongo,na hawezi kutoa jibu la moja kwa moja kuwa waamuzi wa mchezo hawakuwa fair,ila kwenye vikao vyao vya maamuzi anaweza kulizungumza,kutoa mapendekezo ili kuwepo kwa namna bora ya kuwapata hawa waamuzi wenye uwezo na weredi ktk kazi yao
 
Sio kwa nchi hii mkuu Yale MAAMUZI yamatolewa kabla ya mchezo nyuma ya pazia
 
Kijana mdogo anashauri achaneni na Mpra WA TANZANIA Haina maana Tena uneingiliwa kuna jamboo kaona
 
dah inasikitisha sana.
Ungemsikia kama n nduguyako na una mradi SEHEMU unamwambia aachane tu na mpiraaa aiseeee

Dj leta wimbooo
Amenifanyia amanii kaondoaa huzuni yanguuu ...YAAN nasemaga siiangalii NBC LG kila siku sijui kwann sikomi...

Ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom