Kisesetusese
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 393
- 615
Ndgu waandishi wa habari,
Wizara hii ina historia kubwa. Iliwahi kushikwa na wakubwa na watu maarufu.
Haijawahi kuboronga. Haijawahi kutokea migongano ya kimaslahi. Kwa maana hiyo haijawahi kuwa maji yapo na wananchi wanahangaika kwa sababu za kisiasa wakakosa maji.
Hili jambo sasa lipo.
Wizara hii ina historia kubwa. Iliwahi kushikwa na wakubwa na watu maarufu.
Haijawahi kuboronga. Haijawahi kutokea migongano ya kimaslahi. Kwa maana hiyo haijawahi kuwa maji yapo na wananchi wanahangaika kwa sababu za kisiasa wakakosa maji.
Hili jambo sasa lipo.