Barua ya Wazi Wizara ya Maji

Barua ya Wazi Wizara ya Maji

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
393
Reaction score
615
Ndgu waandishi wa habari,

Wizara hii ina historia kubwa. Iliwahi kushikwa na wakubwa na watu maarufu.

Haijawahi kuboronga. Haijawahi kutokea migongano ya kimaslahi. Kwa maana hiyo haijawahi kuwa maji yapo na wananchi wanahangaika kwa sababu za kisiasa wakakosa maji.

Hili jambo sasa lipo.
 
Back
Top Bottom