Barua ya zuio la Mahakama bungeni -ESCROW lilikuwa fake?

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925

Chanzo: Mwananchi

Mkanganyiko unazidi kujitokeza tokana na barua toka Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kuzui bunge kujadilia kashfa ya ESCROW Acc. kwani barua inaonyesha iliandikwa saa saa nane mchana kabla ya kuanza kusikiliza shauri hilo saa nane na nusu mchana. Hivyo barua iliandikwa kabla ya shauri kuanza kusikilizwa.

Hapa kuna kila dalili ya wazi ya mgongano na ishara ya ujenzi wa mnara wa babeli kuanza kutifuliwa kwa kuchafua lugha washindwe kuelewana. Fundi analetewa mwiko badala ya tofauli.
 
Daah........hapa nina wasiwasi waziri MUONGO na TUMBILI halisi wakuleta viambatanisho fake walihusika!!
Hivi huyu jamaa walimtoa wapi?he is so arrogant for nothing
 
Mungu anapochukizwa huwaibisha wafitini na wezi mchana kweupe? au huenda ilichapwa na secretary ambaye naye haridhiki na mambo yanavyokwenda kuhusu escro
 
Daah........hapa nina wasiwasi waziri MUONGO na TUMBILI halisi wakuleta viambatanisho fake walihusika!!
Hivi huyu jamaa walimtoa wapi?he is so arrogant for nothing
Wachagga wanateteana. Yaani wewe Mwekundu huachi kumsakama Muhongo kwa vile tu kamnyima mchaga kwenzako ulaji
 
Wachagga wanateteana. Yaani wewe Mwekundu huachi kumsakama Muhongo kwa vile tu kamnyima mchaga kwenzako ulaji
Na PM naye alikua kwenye hili dili wameshikwa pabaya ,u PM umemshinda alikua analia anataka uraisi si nd atajifungia ndani kutwa mzima analia
 
kwani wewe ndiye msajili wa mahakama au ndiyo katibu wa bunge.
 
Na PM naye alikua kwenye hili dili wameshikwa pabaya ,u PM umemshinda alikua analia anataka uraisi si nd atajifungia ndani kutwa mzima analia

unazungumzia pm yupi yule wa ukawa au yule wa bawacha au chaso?
 
Kama walikuwa wanajiamini kuwa fedha hazikuwa za umma kwanini walikuwa wanatumia mabavu kuizuia isiwakilishwe bungeni??
 
Mh. Tundu Lissu katoa mwanga zaidi, mwenye macho naamini ataona na mwenye masikio na atasikia.
Hizi ni hatua za awali za kulitambua tatizo hasa liliko na tuwe attention na hatua inayofuata endapo tutaombwa kuwasupport tusifanye uswahili!
 
Kama walikuwa wanajiamini kuwa fedha hazikuwa za umma kwanini walikuwa wanatumia mabavu kuizuia isiwakilishwe bungeni??

Baada ya bungeni kupiga kelele kuhusu mpango wa kutumia mahakama kupinga scandal ya ESCROW isijadiliwe wakatulia lakini wakapitia mlango wa nyuma walipoona njia za kumtumia Makinda inashindikana hadi barua inaleta mkandanyiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…