Barua za ajira portal zinaandikwa kwa mkono au kwa ku type

Barua za ajira portal zinaandikwa kwa mkono au kwa ku type

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hellow wakuu, mdogo wangu alitaka kuweka hapa barua ya kuombea kazi ambayo amaei type kwa computer, kui-print, kasaini kwa mkono, kisha akaipiga picha ili aiweke hapa. Kwa jinsi navyojua sisi enzi zetu barua za kazi tulikuwa tunaandika kwa mkono.

Je, ni sahihi kuweka barua iliyoandikwa kwa computer?



1635507515009.png
 
Hellow wakuu, mdogo wangu alitaka kuweka hapa barua ya kuombea kazi ambayo amaei type kwa computer, kui-print, kasaini kwa mkono, kisha akaipiga picha ili aiweke hapa. Kwa jinsi navyojua sisi enzi zetu barua za kazi tulikuwa tunaandika kwa mkono.

Je, ni sahihi kuweka barua iliyoandikwa kwa computer?
 
Kaipiga picha au kaiscan?

Barua unatype afu unasign kwa mkono afu unaiprint..then send km pdf
 
Haina tatizo lolote akiweka ya ku type, lakini ili aweze ku upload hiyo barua ni lazima aka scan na sio kupiga picha, maana kule kinachokuwa uploaded ni katika mfumo wa PDF na sio PICHÀ
 
Hellow wakuu, mdogo wangu alitaka kuweka hapa barua ya kuombea kazi ambayo amaei type kwa computer, kui-print, kasaini kwa mkono, kisha akaipiga picha ili aiweke hapa. Kwa jinsi navyojua sisi enzi zetu barua za kazi tulikuwa tunaandika kwa mkono.

Je, ni sahihi kuweka barua iliyoandikwa kwa computer?
Ndio una type na ku sign asisahau then a scan aweke attachment I wish him/ her best wishes
 
Mm nikimaliza kutype natumia handwriting ya Kwa simu au pc na sign than napachika pale habari imeisha
 
Kwa upande wangu sina haja ya ku-print ili niweze ku-sign HAPANA.

Naandika kwenye laptop au kwenye simu, nai-sign kwenye simu then naituma juu kea juu...!

Inakuwa imeisha hiyo.
 
Kwa upande wangu sina haja ya ku-print ili niweze ku-sign HAPANA.

Naandika kwenye laptop au kwenye simu, nai-sign kwenye simu then naituma juu kea juu...!

Inakuwa imeisha hiyo.
Unatumia software gani kusign mkuu
 
Hellow wakuu, mdogo wangu alitaka kuweka hapa barua ya kuombea kazi ambayo amaei type kwa computer, kui-print, kasaini kwa mkono, kisha akaipiga picha ili aiweke hapa. Kwa jinsi navyojua sisi enzi zetu barua za kazi tulikuwa tunaandika kwa mkono.

Je, ni sahihi kuweka barua iliyoandikwa kwa computer?



View attachment 1990836
Written na typen
 
Than mkikosa mje kubana pua hapa, someni matangazo vzuri
 
Andika kwa mkono halafu sign ,kisha scann halafu iweke kwenye mfumo wa pdf kisha upload
 
Back
Top Bottom