Mwenye bahati yake atapata tuombe viongozi wasipeleke vimemo tupambane watoto wakulima maana viongozi wetu kila sehemu wanapeleka ndugu zao huko bot,tra,tumekubali yaishe basi huku uhamiaji,magereza,tpdf tuachiane watoto wa wakulima au kama watoto wenu watakuja waje tupambane nao hakuna kuja na vikaratasi mikononi,maana mna kaba kila sehem not fair mnataka sisi tufanye kazi gani?