kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kwahiyo wasipoweka hicho kipengere wanakuwa wamekiuka sheria?
Sheria ni msumeno acha hizo wakuja na mbio za mwenge weweKwahiyo wasipoweka hicho kipengere wanakuwa wamekiuka sheria?
Barua? Kwamba Msigwa huwa anatuandikia "barua" za teuzi na tenguzi?Barua zote za uteuzi za Rais wa Zanzibar zina kifungu Cha sheria au katiba kinachompa Rais mamlaka ya uteuzi.
Barua za Muungano zinakosa hiki kipengele muhimu sijui kwanini, naamini ipo aja yakuiga wenzetu wanavyooandika.
Japo font, mpangilio wa haya barua za Msigwa zinavutia zaidi.
Mwisho, pamoja na katiba kutoa mamlaka baadhi ya nafasi zimetamkwa kwenye sheria za taasisi anayokwenda kusimamia mteule, kifungu Cha sheria kinachotoa mamlaka ni vyema kikainishwa pia.
Wapo wateule ambao hata kifungu Cha katiba na sheria kilichowafanya wateuliwe awakijui.......na Hawa ndio wengi kwa taasisi za umma.
Kwahiyo wasipoweka hicho kipengere wanak
Ndiyo maana unatakiwa kuonyesha njia uliyotumia kupata jibu katika hesabu siyo kubahatishaKwahiyo wasipoweka hicho kipengere wanakuwa wamekiuka sheria?
Mmmh, wewe mleta Mada unamtafuta jiwe. Wewe hujui teuzi nyingi za jiwe ziko nje ya sheria sasa unataka aweke kipengele gani cha sheria?Barua zote za uteuzi za Rais wa Zanzibar zina kifungu Cha sheria au katiba kinachompa Rais mamlaka ya uteuzi.
Barua za Muungano zinakosa hiki kipengele muhimu sijui kwanini, naamini ipo haja yakuiga wenzetu wanavyooandika.
Japo font, mpangilio wa haya barua za Msigwa zinavutia zaidi.
Mwisho, pamoja na katiba kutoa mamlaka baadhi ya nafasi zimetamkwa kwenye sheria za taasisi anayokwenda kusimamia mteule, kifungu Cha sheria kinachotoa mamlaka ni vyema kikainishwa pia.
Wapo wateule ambao hata kifungu Cha katiba na sheria kilichowafanya wateuliwe hawakijui.......na Hawa ndio wengi kwa taasisi za umma.
Nadhani unaongelea taarifa kwa vyombo vya habariBarua zote za uteuzi za Rais wa Zanzibar zina kifungu Cha sheria au katiba kinachompa Rais mamlaka ya uteuzi.
Barua za Muungano zinakosa hiki kipengele muhimu sijui kwanini, naamini ipo haja yakuiga wenzetu wanavyooandika.
Japo font, mpangilio wa haya barua za Msigwa zinavutia zaidi.
Mwisho, pamoja na katiba kutoa mamlaka baadhi ya nafasi zimetamkwa kwenye sheria za taasisi anayokwenda kusimamia mteule, kifungu Cha sheria kinachotoa mamlaka ni vyema kikainishwa pia.
Wapo wateule ambao hata kifungu Cha katiba na sheria kilichowafanya wateuliwe hawakijui.......na Hawa ndio wengi kwa taasisi za umma.
Pimbi wewe!Kwahiyo wasipoweka hicho kipengele wanakuwa wamekiuka sheria?
Hilo tu, ndo unaona ni ufasaha wa kuigwa? Yaani kila siku liwe darasa la sheria na katiba!Barua zote za uteuzi za Rais wa Zanzibar zina kifungu Cha sheria au katiba kinachompa Rais mamlaka ya uteuzi.
Barua za Muungano zinakosa hiki kipengele muhimu sijui kwanini, naamini ipo haja ya kuiga wenzetu wanavyooandika.
Japo font, mpangilio wa haya barua za Msigwa zinavutia zaidi.
Mwisho, pamoja na katiba kutoa mamlaka baadhi ya nafasi zimetamkwa kwenye sheria za taasisi anayokwenda kusimamia mteule, kifungu Cha sheria kinachotoa mamlaka ni vyema kikainishwa pia.
Wapo wateule ambao hata kifungu Cha katiba na sheria kilichowafanya wateuliwe hawakijui....... na Hawa ndio wengi kwa taasisi za umma.
Ndio akili yako ilipoishia?Pimbi wewe!