Baruan Muhuza

Gulaya

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
659
Reaction score
230
Huyu Mtangazaji hivi anatangaza bbc au bado yupo sahara media?
 
kwa sasa yupo bbc ,kuna siku nisikia bbc wakisema kuwa BARUANI na mtangazaji mmoja wa kike kama sikosei STUMAI GEORGEwote toka sahara media kuwa wapo mafunzo kwa kile walichosema kuwa ni watangazaji wa radio washirika
 
kwa sasa yupo bbc ,kuna siku nisikia bbc wakisema kuwa BARUANI na mtangazaji mmoja wa kike kama sikosei STUMAI GEORGEwote toka sahara media kuwa wapo mafunzo kwa kile walichosema kuwa ni watangazaji wa radio washirika

stumai george alikuwa attached DW ya ujerumani ila kamaliza mkataba atakuwa kisharejea sahara media
 
Huwa anaripotia BBC akiwa DSM

huyu jamaa mwanzoni alikuwaga RTD, Baadae akaenda Radio Free Africa na Star Tv huko Mwanza, halafu 2008 kama sikosei akaingia TBC 1 YA ENZI ZILE ZA tIDO na jamaa ndiyo alikuwa nasoma taarifa za habari karibu kila siku, halafu tena akahamia Radio 5 kule kwa Lowassa arusha kabla ya kurudi tena Star tv wakati ule wa uchaguzi mkuu wa 2010.tarifa nilizonazo ni kuwa jamaa amekula ajira ya kudumu na BBC World Service kama mtangazaji na muandishi tangu 2012 hadi sasa hivi tunamsikia sana amka na bbc na dira ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…