Huyu Baruan Mhuza alikuwa star na kwenda TBC. Ilikuwaje akarudi tena STAR TV???? Na yule Somebody ODHIAMBO aliyekuwa TBC na kutangaza matokeo ya uchaguzi ya kenya yupo wapi siku hizi? Wanajukwaa nifahamisheni TAFADHALI
Huyu Baruan Mhuza alikuwa star na kwenda TBC. Ilikuwaje akarudi tena STAR TV???? Na yule Somebody ODHIAMBO aliyekuwa TBC na kutangaza matokeo ya uchaguzi ya kenya yupo wapi siku hizi? Wanajukwaa nifahamisheni TAFADHALI