Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Wasalaam
Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu.
Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana na mtazamo wa msanii (mchoraji) au zile picha za black and white
Licha ya juhudi za wasanii katika kuchora, uchoraji hauwezi kufikia kiwango cha uhalisi ambacho picha zinaweza kuwa nazo.
Na kwa hivyo, watu mara nyingi hushangaa ni vipi baadhi ya watu mashuhuri wa kihistoria walionekana kwa kweli na ujinga wote wa zamani umeondolewa kwasababu ya maendeleo (picha)
Bas Uterwijk, mpiga picha kutoka Amsterdam, Uholanzi mtaalam kwenye maswala ya picha za kompyuta, michoro kwa 3D, na Special Effects , anajaribu kutoa jibu la swali hili linaloumiza vichwa vya watu wengi
Uterwijk ni maarufu kwa kutumia GAN (Generative Adversarial Network) kubadilisha michoro na picha za zamani za watu haswa watu maarufu kuwa picha. mfano wa picha halisi.
GANs ni darasa la mifumo ya ujifunzaji wa mashine ambayo ina uwezo wa kutengeneza picha za wanadamu zinazoonekana kama za kweli, na zenye mfanano kabisa na mtu halisi juu ya vipimo na muonekano
Yeye hutumia mchoro unaojulikana kubadilisha kuwa picha kama mtu halisi
Hizi ni baadhi ya kazi zake zipo nyingine nyingi (waweza mfatilia kwenye social net zake)
NEFRITI na PHARAO
Kutumia kwake akili na program ya bandia, mpiga picha wa Uholanzi Bas Uterwijk alitoa picha za kisasa za Mfalme Pharao Akhenaten wa Misri (Amenhotep IV) na Malkia Nefertiti.
JESUS (yesu)
Mpiga picha huyo wa Uholanzi bwana Bas Uterwijk ametoa mfululizo wa picha za watu maarufu, pamoja na Yesu Kristo pia, kama kawaida akitumia akili na programm bandia.
Picha ya mnazareth huyo ,kwanza inamwonyesha Yesu na ngozi ya kahawia, macho ya kahawia, na ndevu fupi.
STATUE OF LIBERTY
Hii Sanamu iko pale USA iliundwa tena na msanii Bas Uterwijk akitumia programu ya bandia...kutengenezea picha yake
GEORGE WASHNGTON
Raisi wa kwanza wa marekani, basi mtaalam Bas akamtengenezea picha yake nae iwe iliyofanana na picha halisi
MONA LISA
Huu ulikuwa mchoro wa mwanasayansi nguli LEORNADO DA VINCI wenye sifa kedekede nao si haba bwana Bas akautengenezea picha halisi kuuleta katika muonekano halisi sa picha
JULIO CAESAR
Wengi wetu haswa wanamtambua huyu bwana kutoka pale Roma Italy, basi bwana BAS hakuwa nyuma , akatengeneza namna anavyoweza kuwa anafanana naye katika picha halisi
Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu.
Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana na mtazamo wa msanii (mchoraji) au zile picha za black and white
Licha ya juhudi za wasanii katika kuchora, uchoraji hauwezi kufikia kiwango cha uhalisi ambacho picha zinaweza kuwa nazo.
Na kwa hivyo, watu mara nyingi hushangaa ni vipi baadhi ya watu mashuhuri wa kihistoria walionekana kwa kweli na ujinga wote wa zamani umeondolewa kwasababu ya maendeleo (picha)
Bas Uterwijk, mpiga picha kutoka Amsterdam, Uholanzi mtaalam kwenye maswala ya picha za kompyuta, michoro kwa 3D, na Special Effects , anajaribu kutoa jibu la swali hili linaloumiza vichwa vya watu wengi
Uterwijk ni maarufu kwa kutumia GAN (Generative Adversarial Network) kubadilisha michoro na picha za zamani za watu haswa watu maarufu kuwa picha. mfano wa picha halisi.
GANs ni darasa la mifumo ya ujifunzaji wa mashine ambayo ina uwezo wa kutengeneza picha za wanadamu zinazoonekana kama za kweli, na zenye mfanano kabisa na mtu halisi juu ya vipimo na muonekano
Yeye hutumia mchoro unaojulikana kubadilisha kuwa picha kama mtu halisi
Hizi ni baadhi ya kazi zake zipo nyingine nyingi (waweza mfatilia kwenye social net zake)
NEFRITI na PHARAO
Kutumia kwake akili na program ya bandia, mpiga picha wa Uholanzi Bas Uterwijk alitoa picha za kisasa za Mfalme Pharao Akhenaten wa Misri (Amenhotep IV) na Malkia Nefertiti.
JESUS (yesu)
Mpiga picha huyo wa Uholanzi bwana Bas Uterwijk ametoa mfululizo wa picha za watu maarufu, pamoja na Yesu Kristo pia, kama kawaida akitumia akili na programm bandia.
Picha ya mnazareth huyo ,kwanza inamwonyesha Yesu na ngozi ya kahawia, macho ya kahawia, na ndevu fupi.
STATUE OF LIBERTY
Hii Sanamu iko pale USA iliundwa tena na msanii Bas Uterwijk akitumia programu ya bandia...kutengenezea picha yake
GEORGE WASHNGTON
Raisi wa kwanza wa marekani, basi mtaalam Bas akamtengenezea picha yake nae iwe iliyofanana na picha halisi
MONA LISA
Huu ulikuwa mchoro wa mwanasayansi nguli LEORNADO DA VINCI wenye sifa kedekede nao si haba bwana Bas akautengenezea picha halisi kuuleta katika muonekano halisi sa picha
JULIO CAESAR
Wengi wetu haswa wanamtambua huyu bwana kutoka pale Roma Italy, basi bwana BAS hakuwa nyuma , akatengeneza namna anavyoweza kuwa anafanana naye katika picha halisi