BASATA: Hatujaufungia wimbo wa 'One Time' wa Lady Jaydee

BASATA: Hatujaufungia wimbo wa 'One Time' wa Lady Jaydee

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema taarifa za kuufungia wimbo wa ‘One time’ wa Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee si za kweli.

BASATA wamesema walimuita kumpa maelekezo msanii huyo ikiwemo kufanya maboresho kwa wimbo huo, kuwasilisha BASATA kusikilizwa na kupewa daraja la kusikilizwa na Umma.

BASATA imewaomba wadau wote wa muziki nchini kupuuza uvumi wa kufungiwa kwa wimbo huo.

1603302492265.png
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom