BASATA, huu wimbo wenye maneno "dela jipya, chupi la zamani", haudhalilisha wanawake, na kwanini msiupigie marufuku?

Hauja mgusa kiongozi yeyote ndio maana unausikia had sahv tena huo had kwenye kampen unaweza kupigwa
 
Hauja mgusa kiongozi yeyote ndio maana unausikia had sahv tena huo had kwenye kampen unaweza kupigwa
 
Kama ni singeli hata watukane vipi ..hawaguswi
singeli ni reflection ya maisha ya waswahili ambapo matusi ni kitu cha kawaida. Labda ndio maana wameamua kuachana nayo
 
Wewe hapo ukiambiwa umevaa chupi la zamani utajisikiaje?
Kwani kwenye huo wimbo nani ametajwa?
Sidhani kama wametajwa wanawake wote wamevaa Dera na chupi ya zamani. Iweje mseme wanawake wanadhalilishwa?
Pia kuvaa chupi ya zamani sio kitu Cha ajabu.
 
Madogo wa wcb sometimes wanakuaga wathenge thana
 
Kuna mwingine unasisitiza " mwagia ndani"
Dah! hawa wasanii wetu ni tatizo.
 
Nyimbo nyingi za wasanii hawa wa kibongo hazina maudhui kabisa, wanaimba imba matusi tu mwanzo mwisho na kuleta athari kubwa kwenye jamii..

Wanamuziki wetu wamekosa ubunifu kiasi cha kushindwa mpaka leo kama Taifa kuwa na muziki wetu kama Icon duniani na Africa...tumebaki kuigaiga tu mara lingala, Kwaito, Nigerians nk.... hii imefanya wasanii wetu kukosa dira na kuimba matusi matusi tu kila siku...
 
Ukiwa karibu na familia ukasikia harufu ya nyimbo za kibongo za kiswahili jifanye umebanwa na mkojo af usirudi au ukirudi mojakwamoja kwenye kitufe cha kuzimia kama sio kuua kabisa.
 
Kwa nini mzazi wako nae avae dera mbele yako? Tuanzie hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…