Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
He he heee,bususu kwa mbaliiiKama na wewe ume_zoom hii picha gonga like twende!! ( Kwa hisani ya watu wa YouTube)
Tupia tusafishe macho mkuu.Kuna Video Yake Ndio Hatari Mpaka Kitu Cha Kati kinaonekakana
Nime zoom mkuu ila bado sijaona kitu.Kama na wewe ume_zoom hii picha gonga like twende!! ( Kwa hisani ya watu wa YouTube)
GarageAlikuwa wapi alivyopiga hivyo ?, Kanisani, Sokoni Au ?
Kama Baraza la sanaa lenye kusajiri wasanii kwa majina, physical address, email address, mobile number etc wameshindwa kumpata Linah basi lipo tatizo pahala.Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
upo km mimi kamanda..huwa nai feel sana hiyo body especialy rangi yke..Mimi napenda sana mwili wa Linah Sanga. Yaani ukipata zigo kama hili, unahakikisha ni mtanange wa kukata na shoka.