BASATA inamtafuta Msanii Linah Sanga

Kuvaa uchi avae mwingine hlf wanawake wote waonekane hawana akili, napingana na Hilo.
Kila mtu ana uchi wake...wewe ukikaa uchi utaaibika wewe na si mwingine.
Ni sawa na kusema video ya Amber Ruth imekuathiri unaona Kama ni wewe umeaibika. Haipo hivyo.
By the way maumbile ya uchi ni yale yale
.
.
Mentality ya ajabu sana.
 
Ebu njoo pm tuongee vzr bby
 
Upo huru kufikiri utakavyo
 
Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
Ni kweli biashara ni matangazo, sasa basi wangekuwa wana-tag na bei!
Tunaomba na picha inayoonesha kwa nyuma.
 
Kiongozi, Hivi Kumbe Maumbile Yenu Ya Uchi Yanafanana?
 
Mkuu hiyo avatar yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…