Hilo la ramani siwezi kuzungumzia, tulikuwa tunadiscus upuuzi wa mtu mwingine kumuaibisha mwingine asiyehusikaTofautisha kati ya ramani na vitendo.....
Huyo dogo hapo nyuma ni mtoto wa nani?BASATA mbona wanaendesha mambo kama kijiwe cha majungu?
Wamewahi kutoa guide au sheria za picha zipi zipigwe na zipi zisipigwe?Wanayo mamlaka hayo?
Kwa hapo alipopigia hiyo picha hakuna madhara maana ni sehemu inayoruhusu kuvaa kama hivyo ili aogelee.Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
Elewa kuwa wamesema wanamtakaBasata bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema mungu[emoji87][emoji87]Kuna Video Yake Ndio Hatari Mpaka Kitu Cha Kati kinaonekakana
Ili wamfanye nini?Elewa kuwa wamesema wanamtaka
Hilo sasa la kujiuliza mimi na wewe[emoji23]Ili wamfanye nini?
Aloimba na Dogo JanjaKuna Video Yake Ndio Hatari Mpaka Kitu Cha Kati kinaonekakana
Kumbe ndio ana shape mbovu hiviiiiiWakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
Kwanza BASATA wanatakiwa kuelewa kwamba kujifunika funika mwili mzima sio utamaduni wa mtu mweusi, mababu zetu walijisitiri sehemu za siri tu na maisha yaliendelea.BASATA mbona wanaendesha mambo kama kijiwe cha majungu?
Wamewahi kutoa guide au sheria za picha zipi zipigwe na zipi zisipigwe?Wanayo mamlaka hayo?
Inategemea na skin colour thoughSema tuache utani..demu akivaa cheni mfano ya gold kiunoni au shanga moja au mbili zile kama za gold huwa wanaua sana..
Figa Matata sana.
Yuko swimming pool walitqka avae speedo kabisa?
Rangi ya mtume..that obvious..dark skin samahanini..Inategemea na skin colour though