BASATA na Nay Wa Mitego Kikaangoni E FM

BASATA na Nay Wa Mitego Kikaangoni E FM

BASATA kazi yao ni kuangalia maadili ya kiafrika tu kama yanazingatiwa vizuri na hawa Bongo Fleva. Je hawana shughuli nyingine ya kufanya?
 
Alitakiwa akatazwe kufanya muziki maisha yake yote. Ili iwe fundisho kwa wengine.
Yeye kila siku ni kuimba nyimbo za kijinga.
Hivi hana washauri?
 
Msanii haelimishi..hafurahish wakazi gani wamfungie tu jingajinga
Kama wameifungia redioni na TV saw a. Lakini kwenye internet itakuwa ni ukuda kama waliomfanyia Snura. Kama wewe humsikilizi kuna wanaomsikiliza. Ujinga ni tafsiri yako tu.
 
Kawasikilizishe wazazi wako then waombe feedback.
Ukisema hivyo nyimbo nyingi tu huwezi kuwasikilizisha wazazi!Hata wimbo wa juzi wa Jux "wivu" haufai,una maneno kama "napenda unavyonipa taratibu"!Kupewa nini?
Ngoja nikuwekee ngoma ambazo hazijafungiwa kawaoneshe au kuwasikilizisha wazazi wako halafu ulete mrejesho!
1.Nasema nawe(shooting inafanana na chura)
2.Manfongo(Hainaga ushemeji tunakulaga)
3.Nyambizi(Dully sykes)
4.High school -Nik Minaj

Nikirudi nakuwekea nyingine 10
 
Nay Kawauliza Basata, wimbo wake unatofauti gani na ule wa "Una Ramboooo mi na muwa......" Pia una tofauti gani na ule wa mtarimbo huooo mtarimbo huoo, mtarimbo huo umelala doro" Basata wametikisa masikio huku wakipepesa macho.
 
Back
Top Bottom