kwa hiyo kwenye radio unasikiliza wimbo au kava?Wimbo wa Ney tatizo si Mashairi, tatizo ni cover ya wimbo na picha zilizo tumika humo.
Hapana kwenye redio sasa huko ni personal conflicts na hao BASATA lkn nenda kapakue huo wimbi utaukuta ktk format ya mp4 ambayo ame attach ma picha ambazo hazina maadili kabisa. Yani kama kwenye wimbo ameficha maana kwenye hizo picha maana ipo wazi so hapo unafikiria nini kingefuata.kwa hiyo kwenye radio unasikiliza wimbo au kava?
Mimi sitaki kupakua huo wimbo nataka kusikiliza kwenye Radio...nitakuelewaje ukiniambia kuwa umefungiwa kisa picha za huko kwenye kupakua?!Hapana kwenye redio sasa huko ni personal conflicts na hao BASATA lkn nenda kapakue huo wimbi utaukuta ktk format ya mp4 ambayo ame attach ma picha ambazo hazina maadili kabisa. Yani kama kwenye wimbo ameficha maana kwenye hizo picha maana ipo wazi so hapo unafikiria nini kingefuata.