BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Mkuu nazani shonza yuko umu tunaomba aje kujibu ili swali lako. Angalizo shonza ukoja kujibu tafadhali rekebisha zile r na l zako il tuweze kuelewana umu ndani
Ulishawahi kusikia watoto wanaimba na kudhalilisha watu na hizo nyimbo za weusi?MKUU UNAONA MBALI SANA.HAKUNA WATU WANAIMBA MATUSI KAMA WEUSI.
Nikki na bunduki ila sio siraha.Ina kichwa kisicho na akili na...,ina kichwa kisicho na utosi naa...,
HAPO JUU NI BAADHI YA MISTARI KWENYE WIMBO WA NALIAMSHA DUDE.
Shonza karibu mi nilijua uko mbali kumbe uko uko online aya jibu maswali ya kijana apo juuHapo na wewe unajiona umejibuuuuuu..
Na hata kutamani unayemyongelea awe yeye..
Kuna Bombadier ya Dully (et inapenya kote kote) na ile ya dogo janja amasema kuwa anapewaga mambo ya uani.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Hayo mambo ya uani kuna baadhi ya wakuu wa mikoa wanayo, kwahiyo hilo sio tatizo.
Umenikumbusha kwenye american pie 1 or 2, wakati binti yupo ndani na jamaa yake, baba yake anataka kugonga mlango binti akasema "I'm cumming" baba yake akaacha kugonga mlango kwa kujua kuwa bintie amejua kuwa anaitwa hivyo anakuja.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Unanifanya ni cum, unanifanya nije, na wao wanaimba lyrics ni za kwako .CUM (come) hahahaaaa
Hahahaaaa na we umenikumbusha movie moja sijui inaitwa let it shine jamaa anagombana na mwenzake kwenye mistari akamwambia I am vegetarian, I need no beef, lakini akimaanisha hapendi ugomviUmenikumbusha kwenye american pie 1 or 2, wakati binti yupo ndani na jamaa yake, baba yake anataka kugonga mlango binti akasema "I'm cumming" baba yake akaacha kugonga mlango kwa kujua kuwa bintie amejua kuwa anaitwa hivyo anakuja.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]