BASATA wameanzisha kipengele cha "Best Chawa Of The Year" kwenye tuzo. Hivi CCM mnatupeleka wapi?

BASATA wameanzisha kipengele cha "Best Chawa Of The Year" kwenye tuzo. Hivi CCM mnatupeleka wapi?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Yaani ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ina-propagate hii idea ya Uchawa ionekane ni kitu cha kawaida.

Hivi karibuni wameanzisha tuzo za wachekeshaji na ndani yake wanaweka kipengele cha BEST CHAWA OF THE YEAR.

Yaani wakati mataifa mengine wana tuzo za mathematicians, astronomers, best engineers, best entreprenuers, Tanzania serikali ina-fund mambo ya Uchawa?

Na Mwijaku ukimuangalia hapo chini anasema kabisa yupo "proud" kuasisi Uchawa.

Kama Taifa tumefikaje at this point where the government inafund uchawa?

CCM mnatupeleka wapi?

Hongera sana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable juhudi zenu zimeonekana

 
Wakuu,

Yaani ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ina-propagate hii idea ya Uchawa ionekane ni kitu cha kawaida.

Hivi karibuni wameanzisha tuzo za wachekeshaji na ndani yake wanaweka kipengele cha BEST CHAWA OF THE YEAR.

Yaani wakati mataifa mengine wana tuzo za mathematicians, astronomers, best engineers, best entreprenuers, Tanzania serikali ina-fund mambo ya Uchawa?

Na Mwijaku ukimuangalia hapo chini anasema kabisa yupo "proud" kuasisi Uchawa.

Kama Taifa tumefikaje at this point where the government inafund uchawa?

CCM mnatupeleka wapi?

Hongera sana Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable juhudi zenu zimeonekana

View attachment 3203518
Machawa wengi ni wale waliozaliwa kwenye familia masikini zinazoishi kwa mlo mmoja kwa siku .. mtu aliyekulia kwenye nafuu ya maisha hawezi kujikomba'lize kwa mtu kisa apate chochote...
 
Hawa ccm wangedhibitiwa mapema kabla hawajaangamiza hiki kizazi, kwakweli dunia haina huruma yani shetani kaamua kutupatia jaribu katutelekezea ndugu zake hawa ccm alafu katokomea kusiko julikana.
 
Orodha ni ndefu, kuna mwijaku, steve nyerere, maulidi kitenge, kuna mmoja clouds anajiita big chawa, kuna chawa wa humu wanajulikana kwa undavandava wao
 
Basata mmepouwaaaaaa!!!!💪💪💪watu wa mana kabisa!
 
Ndio ubunifu aiseeeeee
Uvutie watu wawe machawa na machawa

Bongo land 🤣🤣🤣🤣
 
Duu!hii inaenda kuwa nusu ya kupromote uhollywood. Hivi kwamba yaani hicho nacho nikitu cha kuambukiza jamii ikifanye kisa tuu maslah.
 
Back
Top Bottom