Mkuu basata ni wapumbafu sana ambao hawajielewi hata kidogoBeira Boy,
Umeongea point sababu kwa hii system mbovu ya mziki wa bongo fleva,miaka ijayo itazalisha akina dudubaya wengi.
Nashindwa kuelewa kwanini ili jipu BASATA alitumbuliwiMkuuMkuu basata ni wapumbafu sana ambao hawajielewi hata kidogo
Mimi sijawahi sikia basata wamefanya kazi nyingine zaid ya kufungia wasanii
Wao ni kufungia wasanii tu ndo kazi walio bakisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio haudhani kama anaweza kuwapanda hao ng'ombe maana kushathibitisha kama hayuko fit mentallyhata huko kenya ataanza kutukana wasanii na wadau wa hapo Kenya.
huyu akachunge ng'ombe full stop.
Mtu mwenyewe anaitwa dudu baya .Baraza la sanaa limemfutia msanii Godfrey Tumaini "Dudubaya" leseni, kwahiyo hatakiwi kujihusisha tena na muziki. Mwanzoni msanii huyo alitoa kashfa tofauti kwa kutumia clips za video kwenye Instagram, sababu za kufungiwa ni pamoja na kutoa matusi, na Baraza la Sanaa lilipomwita alisema hataenda kuwasikiliza.
********
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfutia usajili Msanii wa Muziki, Godfrey Tumaini maarufu Dudu Baya kutojishughulisha na shughuli zozote za sanaa kuanzia leo Januari 07, 2020.
Baraza hilo limeeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya Msanii huyo kukiuka wito wa kutakiwa kufika BASATA baada ya kutoa lugha zisizo na maadili kuhusu Wasanii katika Mitandao ya Kijamii.
Inaelezwa kuwa Dudu Baya alisema ameuona wito huo na hatakwenda huku akilitaka Baraza hilo kutatua migororo iliyopo kati ya baadhi ya vyombo vya habari na Wasanii ili muziki usonge mbele.
Itakumbukwa kuwa Februari 27, 2019, Dudu Baya alikamatwa na kuhojiwa na Polisi ikiwa ni agizo la Waziri wa Sanaa, Harrison Mwakyembe baada ya kusambaa kwa video zake akionekana kumdhihaki Ruge Mutahaba.
Dah....NAKAZIA[emoji41]Basata watafute kwanza suluhu kati ya media na wasanii na waondoe dhuluma na unyonyaji kati ya media na msanii
Waache upambafu wao sasa kumufungia dudubaya ndo nini
Poor basata
Shwain basata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivp?WCB wamemponza Konk Nyaa
Viongozi wetu hawana dispute resolution skills, wamekalia mabavu tu na kujimwambafy. Obviously kama umeona unaonewa na kwakua vyombo vyetu havitoagi haki bali vinaangali ni namna gani vitapata mkate wao wa kila siku kwa jusifu na kuabudu ndio maana hakuona umuhimu wa kwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app