Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Nashangaa basata badala ya kufungia wimbo wa ccm mbele kwa mbele wao wanafungia wa kibamia, inamaana basata hawafahamu ya kwamba ule wimbo wa ccm mbele kwa mbele hauna maadili kabisa na haufai kabisa??[emoji12]