WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amejitokeza hadharani kwenye mitandao mbalimbali ya Kijamii kujibu tuhuma za kwamba Serikali imefilisika kama walivyodai baadhi ya watu na akatoa ufafanuzi wa kina wa kila hoja.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe unakabiliwa na tuhuma mbalimbali kwenye utoaji wa vibali vya sukari kwa zaidi ya miezi miwili sasa kashfa inakulilia, umeona wazalishaji wa sukari wanakulilia, wakulima wa miwa wanakulilia na tuhuma lukuki za rushwa kwenye biashara ya utoaji vibali vya sukari.
Kwanini na wewe usitoke hadharani ukaeleza unayojajua kuhusu kashfa hii kubwa ya sukari inayoendelea kuibuka upya kila siku?
Bashe iga MFANO wa Mwigulu utakuja kunikumbuka, ukimya wako haukusaidii chochote na hicho cheo ni dhamana lolote linaweza kutokea kwako.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe unakabiliwa na tuhuma mbalimbali kwenye utoaji wa vibali vya sukari kwa zaidi ya miezi miwili sasa kashfa inakulilia, umeona wazalishaji wa sukari wanakulilia, wakulima wa miwa wanakulilia na tuhuma lukuki za rushwa kwenye biashara ya utoaji vibali vya sukari.
Kwanini na wewe usitoke hadharani ukaeleza unayojajua kuhusu kashfa hii kubwa ya sukari inayoendelea kuibuka upya kila siku?
Bashe iga MFANO wa Mwigulu utakuja kunikumbuka, ukimya wako haukusaidii chochote na hicho cheo ni dhamana lolote linaweza kutokea kwako.