Bashe kaonyesha njia kwenye kilimo kwa kuweka vitalu vya kilimo na kuwapatia vijana, wizara ya ujenzi, nishati, na wengine wafuate.

Bashe kaonyesha njia kwenye kilimo kwa kuweka vitalu vya kilimo na kuwapatia vijana, wizara ya ujenzi, nishati, na wengine wafuate.

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wizara ya ujenzi inaweza kuandaa mkakati wa kuibua wakandarasi wadogo, hasa wanaomaliza vyuo na kuwa na uzoefu ambao wataona unafaa.

Wawatake kuunda kampuni, na wawape kipaumbele Cha tenda za ujenzi za kiwango fulani wakati wakikua kama kampuni. Kampuni hizo ziorodheshwe, na iwe sharti kuzipa kazi kampuni hizo tu kwa kazi za kiwango fulani.

Hii inaweza kwenda kwa wizara nyingine kama ya nishati, pia madini, wanaibua Kitalu Cha uchimbaji, wanatafuta wanafunzi waliotoka chuo, kampuni zao zinapimwa, Kisha wanapewa Kitalu hicho.

Wizara ya uvuvi, Kuna ufugaji wa samaki wa vizimba.

Wizara ya utalii, mnaweza kuwezesha maeneo maalum kwa wahitimu wakaanza hivyo.

Kila wizara iwe na initiatives.

Na ili kuiboresha, wawe wanaandaa paper na business plan, zinapitiwa na wataalamu ndipo wanapata hizo grants
 
Hongera kwake mh Bashe kwa kuonesha kua kuna mambo yanawezekana kama tukiamua. Kule lile jamaa la mtama kazi yake kujibizana shombo na watu twitter.
 
Wizara ya ujenzi inaweza kuandaa mkakati wa kuibua wakandarasi wadogo, hasa wanaomaliza vyuo na kuwa na uzoefu ambao wataona unafaa.

Wawatake kuunda kampuni, na wawape kipaumbele Cha tenda za ujenzi za kiwango fulani wakati wakikua kama kampuni. Kampuni hizo ziorodheshwe, na iwe sharti kuzipa kazi kampuni hizo tu kwa kazi za kiwango fulani.

Hii inaweza kwenda kwa wizara nyingine kama ya nishati, pia madini, wanaibua Kitalu Cha uchimbaji, wanatafuta wanafunzi waliotoka chuo, kampuni zao zinapimwa, Kisha wanapewa Kitalu hicho.

Wizara ya uvuvi, Kuna ufugaji wa samaki wa vizimba.

Wizara ya utalii, mnaweza kuwezesha maeneo maalum kwa wahitimu wakaanza hivyo.

Kila wizara iwe na initiatives.

Na ili kuiboresha, wawe wanaandaa paper na business plan, zinapitiwa na wataalamu ndipo wanapata hizo grants
Time will tell
 
Hongera kwake mh Bashe kwa kuonesha kua kuna mambo yanawezekana kama tukiamua. Kule lile jamaa la mtama kazi yake kujibizana shombo na watu twitter.
Mapinduzi ya kilimo ni zaidi ya hizo vitalu
 
Angeanza kuwahakikishia Masoko ya Uhakika ambao tayari wameshalima angekuwa amefanya jambo la mbolea sana....
 
Wizara ya ujenzi inaweza kuandaa mkakati wa kuibua wakandarasi wadogo, hasa wanaomaliza vyuo na kuwa na uzoefu ambao wataona unafaa.

Wawatake kuunda kampuni, na wawape kipaumbele Cha tenda za ujenzi za kiwango fulani wakati wakikua kama kampuni. Kampuni hizo ziorodheshwe, na iwe sharti kuzipa kazi kampuni hizo tu kwa kazi za kiwango fulani.

Hii inaweza kwenda kwa wizara nyingine kama ya nishati, pia madini, wanaibua Kitalu Cha uchimbaji, wanatafuta wanafunzi waliotoka chuo, kampuni zao zinapimwa, Kisha wanapewa Kitalu hicho.

Wizara ya uvuvi, Kuna ufugaji wa samaki wa vizimba.

Wizara ya utalii, mnaweza kuwezesha maeneo maalum kwa wahitimu wakaanza hivyo.

Kila wizara iwe na initiatives.

Na ili kuiboresha, wawe wanaandaa paper na business plan, zinapitiwa na wataalamu ndipo wanapata hizo grants
Huu mpango upo kiupigaji zaidi ni ngumu kujua pesa zimetumika ama vipi nazani tungejifunza wenzetu kwenye sector ya kilimo wanafanyaje
 
Watanzania wanapenda sana kulaumu sijui wamelogwa na nani, mradi ndio umeanza watu wanaanza kuleta much know...Waziri Bashe ni hazina kwa Taifa!! time will tell...
 
Back
Top Bottom