Nimefurah kaz za wengine ila mshana Jr ni % kwa %Looh machuchu mbn wacheka
Hajar yupo lazima utembee
Nilikuwa nimelala, kazi za ujenzi wa taifa ni zinachosha sanaaNaona hata sms yangu hajibu
Jamani my kipenzi nimekujangoja nimlete
Yani leo sina mpango wa kula wala kunywa,,nimefungaaShemeji umekula kweli
Sawa msubiriNakusubiria tu Dada angu
Mchana sikuwepo humu,simu alikua nayo jolie jolie[emoji23]Najua uko busy unazurula Jr utakondaaaa kama hauli
Pole my kipenzi huyu Demiss kanishinda tabia kabisanaona umeamua kutuvunja mbavu leo