[emoji134][emoji134]Unataka unitafune mara ngapi?
Hatariii. Nyani Ngabu una mahaba usinitege mie nikategeka buree
Ndo anataka aujaribie kwenye penzi letu naonaAmefundishwa ulozi na Mshana huyo alafu hajui kuutumia ss [emoji1][emoji1]
Fumba macho love[emoji134][emoji134]
Yiiih. Nimeikumbuka ile saa yangu [emoji8][emoji8][emoji8]Kusema ukweli najua sana kum spoil mchuchu!
Ukiwa nami ku wine and dine kwenye sehemu za ukweli ni jambo la kawaida.
Every now and then sioni shida kutumia dola efu kadhaa kukununulia pea mbili tatu za Manolo Blahniks uendelee kuwatandika fimbo za macho wale team macho kuvimba!
[emoji85][emoji85][emoji124][emoji124]Fumba macho love
Usijidanganye Mzigua wa Nyani wanakuchora tu hapoooo njoo nikupe mtot mzuri[emoji85][emoji85][emoji124][emoji124]
Shemeji ako hawezi kujinyonga anajua kabisa. Huwa wachuchu wanajimurder kwa ajili yake.Unamkana shemeji yangu leo jaman atajinyonga wallah
Sheeeenzi. Kumbe unamtoa ili umuweke shoga ako. Ngoja nimwambir shemeji Mshana anipe limbwata mapemaaUsijidanganye Mzigua wa Nyani wanakuchora tu hapoooo njoo nikupe mtot mzuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja Nyan aje kujibu hapa mm sna nenoooo
Mr miller ale konaShemeji ako hawezi kujinyonga anajua kabisa. Huwa wachuchu wanajimurder kwa ajili yake.
Nampa shost yangu Jolie JolieSheeeenzi. Kumbe unamtoa ili umuweke shoga ako. Ngoja nimwambir shemeji Mshana anipe limbwata mapemaa
Jombaa,mm ni mwanaume wa shoka!witnessj anajielewa sana ni mtu mwenye ufahamu mkubwa wa maisha. nahisi alikua vizuri sarasani.
monde arabe ana tabia za kike na kiume bado haijulikani ni jinsia gani haswa
duu poa mkuu samahani...Jombaa,mm ni mwanaume wa shoka!