Weak point mkuu mbona man u amepita Mikono ya juventus na PSGYaan man u wakikutana na man city naona kabisa man city akitembea nusu fainali
Mpaka sasa sijaona timu ya kumzuia liverpool kuchukua uefa
Liver kapita mikono ya wanaume, psg, buyern daaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shabiki mwenzangu wa soka usiniangushe bhana, ni kawaida sana timu za ligi moja kukutana Uefa , mfano mwaka jana Liverpool na Manchester city walikutana.Man u na man city haziwezi pangwa pamoja zote za ligi moja
Man United ana upepo wa kupangiwa timu ngumu msimu huu.. Angalia safari yake ya fa cupTimu yangu Man United naomba iepuke timu tatu tu,Barca,City na Ajax...waliobakia tutapambana nao kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipofika hawaangalii ilo.. Na kuna uwezekano mkubwa ikatokea ivyo kwa tim za Uingereza ili kuwapunguza idadiMan u na man city haziwezi pangwa pamoja zote za ligi moja
Sasa mkuu kila timu mnaiogopa mtacheza na nani....Timu yangu Man United naomba iepuke timu tatu tu,Barca,City na Ajax...waliobakia tutapambana nao kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetaja tatu ambazo naona hatari zaidi kwetu kwa maoni yangu,bado kuna nyingine 4,kila timu huwa haiombei ikutane na team flani ktk stage flani!!Unadhani Barca watapenda kukutana na City au Liverpool badala ya Porto??ni kawaida sana japo yoyote utakayepangiwa utapambana nae tuSasa mkuu kila timu mnaiogopa mtacheza na nani....
Hivi mnavyoyaandika haya mnakuwa serious au?Sema United hhatopangiwa juve wametoka kundi moja labda nusu au final if happen
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaizibe mkuu isiendelee kuvuja....Barca vs Man City
Juve vs Porto
Man u vs Tort
Liver vs Ajax
,,,,,kwa taarifa iliyovuja robo fainali iko hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
Barca vs Man City
Juve vs Porto
Man u vs Tort
Liver vs Ajax
,,,,,kwa taarifa iliyovuja robo fainali iko hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari nimetoka kuionaBarca vs Man City
Juve vs Porto
Man u vs Tort
Liver vs Ajax
,,,,,kwa taarifa iliyovuja robo fainali iko hvo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mji Mmoja ndo haziwezi kupangwa pamoja?? Nyie Mmenza kushabikia link Mpira???... United na City hawataweza kucheza wote ndani ya wiki moja Endapo kila Mmoja atapangiwa Timu tofauti.. Ila Manchester Derby inawezekana KABISAAAAA
Wewe unafkiria kweli ama Unaropokaa!?? Em Leo cheki draw jins inavyochezeshwa!! Any1 Vs Any1Sema United hhatopangiwa juve wametoka kundi moja labda nusu au final if happen
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mi ndo nashindwa kuelewa wanakwama wap vijana, kinacho determine nani acheze na nani ni ile draw yaoHivi mnavyoyaandika haya mnakuwa serious au?
Ajax vs man u
Liver vs man city
Spurse vs barca
Juve vs porto