chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Maliyamungu na Goebbels walikuwa ni majinamizi kwenye nchi zao. Walikuwa ni majini yaliyoshindwa kutosheka na damu. Walikuwa majitu makatili sana, yakasababisha nchi zao ziharibike kabisa.
Bila shaka baada ya wao kufa, walibaki wengine, na hata sisi tunaye, anajijua
Bila shaka baada ya wao kufa, walibaki wengine, na hata sisi tunaye, anajijua