Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Ndugu Bashiru Ally alisema kuwa katiba ya sasa ni katiba isiyokidhi mazingira ya kisiasa ya nchi yetu maana ilitungwa kuenenda na mfumo wa chama kimoja.
Dkt. Bashiru Ally akasema kuwa Katiba hii ya sasa haina muafaka wa kitaifa ambapo sasa nchini kuna vyama vingi wakati katiba hii ni ya chama kimoja
Swali moja ambalo ningependa Bashiru atuambie, kama analitambua hilo, Je ni kwa nini Ilani ya chama chake ya mwaka 2020 haina kipengele cha katiba mpya?
Na kama yeye anaamini hivyo kwa nini Serikali ya chama chake iligoma kutekelwza ahadi ya katiba mpya iliyo katika ilani yake yenyewe ya mwaka 2015?
Unaweza kumsikiliza ndugu Bashiru Ally akieleza umuhimu wa Katiba mpya katika mazingira ya Tanzania yetu hii leo:
Dkt. Bashiru Ally akasema kuwa Katiba hii ya sasa haina muafaka wa kitaifa ambapo sasa nchini kuna vyama vingi wakati katiba hii ni ya chama kimoja
Swali moja ambalo ningependa Bashiru atuambie, kama analitambua hilo, Je ni kwa nini Ilani ya chama chake ya mwaka 2020 haina kipengele cha katiba mpya?
Na kama yeye anaamini hivyo kwa nini Serikali ya chama chake iligoma kutekelwza ahadi ya katiba mpya iliyo katika ilani yake yenyewe ya mwaka 2015?
Unaweza kumsikiliza ndugu Bashiru Ally akieleza umuhimu wa Katiba mpya katika mazingira ya Tanzania yetu hii leo: