SI KWELI Bashiru asema Ndugai aliwekwa kizuizini na kulazimishwa kujiuzulu

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
nd
Halafu mazuzu humu ndio wengi nimeamini!

Umeishaambiwa kwa maandishi kwamba ni FAKE

Lakini bado umekomaa kuwalisha watu matango pori yako!

Au wewe umeona imeandikwa "FEGI"badala ya"FAKE"?¿
ugai umfanyie hayo weeee!! atacharuka mpaka radio ujermani
 
Ina maana barua pepe za chama anapata kupitia sanduku la posta.
anatumia kiswaswadu au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…