Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ijibu hoja zake ila watanzania hawaaminiki.I hate ccm but the guy who experiences hate from ccm might be the right guy.
Bashiru needs to apologize for his proud statements during his time as the party secretary.
Then and only then some of us will consider voting for him.
Watanzania wengi unafiki umewajaa. Inapokuja kwenye suala la maslahi yao wanaweza hata kuwakana wazazi.Ccm ijibu hoja zake ila watanzania hawaaminiki.
Polepole alivyogeuka wakati anakula mema hadi nilishangaa.
Bashiru sasa hivi anapinga kile alichokuwa akiwafanyia wengine wakati wake.
Nape ameexperience pande zote mbili za shilingi lakini sasa hivi kasahau.
Watanzanja wakipata madaraka wanasahau mapema sana
tunasubiri wa kuthubutu kumpoka mama kigoda alichokikalia - yetu macho.We definitely need another president not this one.
Hana uchungu kabisa na nchi yetu.
Sitawasahau wazalendo wawili (the only ones) maishaniCcm ijibu hoja zake ila watanzania hawaaminiki.
Polepole alivyogeuka wakati anakula mema hadi nilishangaa.
Bashiru sasa hivi anapinga kile alichokuwa akiwafanyia wengine wakati wake.
Nape ameexperience pande zote mbili za shilingi lakini sasa hivi kasahau.
Watanzanja wakipata madaraka wanasahau mapema sana
Nani wa kumfunga paka kengele??tunasubiri wa kuthubutu kumpoka mama kigoda alichokikalia - yetu macho.
Unatafuta vichaa mnaofananaWe definitely need another president not this one.
Hana uchungu kabisa na nchi yetu.
Sio lazima hata awe Bashiru , mwingine yeyote tu ambaye ana uchungu na rasilimali za nchi yetu.
Tusipofanya hivyo mchwa watatutafuna jumba lituangukie.
Sioni uongozi huu ukijitolea kwa dhati kujibu maswali ya wananchi wa kawaida.Akakenue mdomo
Unatafuta vichaa mnaofanana
✅✅✅✅✅✅I hate ccm but the guy who experiences hate from ccm might be the right guy.
Bashiru needs to apologize for his proud statements during his time as the party secretary.
Then and only then some of us will consider voting for him.