Bashiru imebaki stori tu

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Alitamba sana enzi za Jiwe.

Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.

Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.

Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.

Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.

Your browser is not able to display this video.
 
Akili za kupumuliwa kisogoni bhana...kwako hao "watu" ni akina nani? unauhakika hao "watu" kwako (wahujumu uchumi, mashoga, vibaraka...) kwake pia ni "watu"? Pathetic...
You nailed it mkuu, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huenda akaibuka tena
 
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
 
Kivip Bashiru aliigeuza CCM kuwa mali yake? Hivi ukipitia kauli za Nape na Bashiru nani utaweza kusema huyu anaiona CCM mali yake binafsi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
 
Una uhakika??
Kwa sababu aliteuliwa Katibu mkuu kiongozi kabla haijatoka taarifa ya kutenguliwa kama Katibu mkuu wa CCM!
Bashiru mbona aliondolewa CCM kabla hata jiwe hajafariki?
 
Hata hawa waliopo nao watatoka tu ni suala la muda tu, wakilijua hilo haliwafanyi kuacha kutimiza majukumu yao.
 
Labda arudi kwao Burundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…