You nailed it mkuu, [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Akili za kupumuliwa kisogoni bhana...kwako hao "watu" ni akina nani? unauhakika hao "watu" kwako (wahujumu uchumi, mashoga, vibaraka...) kwake pia ni "watu"? Pathetic...
Yako empty sana vichwani haya majitu, JPM atawatesa sana.Kwani huyu wa sasa haongei kwa mamlaka hivyop hivyo tena yaliyopitiliza ya "kutoa maagizio kuwa Waziri wa mali asili ajiuzuru?
Huenda akaibuka tenaAlitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.View attachment 2252898
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.Alitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.View attachment 2252898
Kivip Bashiru aliigeuza CCM kuwa mali yake? Hivi ukipitia kauli za Nape na Bashiru nani utaweza kusema huyu anaiona CCM mali yake binafsi?Alitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.View attachment 2252898
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.Alitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.View attachment 2252898
Mkuu kwan paka leo ajapangiwa kazin nyinginee km mwenziee polepole.anajuta bora angebakia na heshima yake pale Chuo, ila kwa sasa hiiii !!!
Bashiru mbona aliondolewa CCM kabla hata jiwe hajafariki?
Labda arudi kwao BurundiAlitamba sana enzi za Jiwe.
Alikuwa anaongea kwa sauti ya mamlaka sana.
Aliigeuza CCM kuwa mali yake na kila aliyekwenda kinyume na atakavyo alimhukumu.
Kuondoka kwa Jiwe ikawa ndiyo mwisho wa kuvuma kwake na Ikulu sasa hivi anaiona tu kupitia TBC.
Tijifunze kuishi na watu vizuri maana hakuna aijuaye kesho yake.View attachment 2252898