Bashiru kashindwa kutumia Dola kubaki kwenye nafasi yake? Je, Prof. Kabudi amebagazwa?

Bashiru kashindwa kutumia Dola kubaki kwenye nafasi yake? Je, Prof. Kabudi amebagazwa?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Naandika pasipo tashwishwi yoyote. Kuna hoja aliwahi zungumza msomi wa Siasa Dr. Bashiru kuwa CCM itatumia Dora kubaki madarakani. Nikawaza je na yeye anaweza tumia Dora kubaki katika nafasi yake?

Lakini nmesikitika kuona Prof wangu Kabudi akibagazwa kwa ile nafasi ambayo alikuwa nayo iliyomsaidia kutuletea dawa za Corona toka nje naye akawa wa kwanza kabisa kunywa pasipo tashwishwi kabisa.

Tuendeleeni kujivukiza hasa katika kipindi hiki. Safari hii tujivukize kwa moshi unaotokana na mchanganyiko wa kuchomwa pilipili kichaa, bhangi, mwarobaini, tangawizi, muarovera na mchunga.
 
Yupo hoi sasa hivi anapumulia mashine.



.https://www.instagram.com/p/CNF2PDdh0Fa/?igshid=196hrxrz5imdr
 
Unahitaji kuchunguzwa akili
Hapo wewe nini unalalamika?
Katika ulimwengu huu ogopa sana technology babu.

.https://www.instagram.com/p/CNF2PDdh0Fa/?igshid=196hrxrz5imdr
 
Back
Top Bottom