Zamani hizo...kuna nini tena mbona msikitini mara kanisani?View attachment 2502790View attachment 2502800
π¬π¬Purely talented and charismatic leader πππππ
Hivi huyu kijana anajua Mungu ni nani naona anadhihaki sana dini hawezi kwenda kanisani kulia kimuomba Mungu halafu kila kukicha unapanga kudhulumu mali za watu na kuwasingizia wanauza madawa ya kulevya halafu Mungu akakubariki hiyo ni kejeli kwa Mungu na atakulaani sanakuna nini tena mbona msikitini mara kanisani?View attachment 2502790View attachment 2502800
Alimwingiza chaka hadi Pengo. Dah.Jamaa mwigizaji kinoma
[emoji23][emoji23][emoji23],Sasa km Mhashamu Pengo aliombwa baraka angewezaje kukataa.Alimwingiza chaka hadi Pengo. Dah.
Chaka hilo.[emoji23][emoji23][emoji23],Sasa km Mhashamu Pengo aliombwa baraka angewezaje kukataa.
Mpaka hapo TU huyo siyo mkristu ni mtu TU kama mtu mwingine mpagani.kuna nini tena mbona msikitini mara kanisani?View attachment 2502790View attachment 2502800
Bashite ni kaule sana huyu jamaa..kuna nini tena mbona msikitini mara kanisani?View attachment 2502790View attachment 2502800