Bashite kwenye ubora wake

Snipes

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9,165
Reaction score
16,791
mwandishi: hebu tueleze mh RC ilikuwaje ukavamia Clouds Media
DAB: tumesikiliza kero za wananchi na tumekubaliana kupunguza bei ya maji kuanzia sasa unit moja itakuwa 1k tofauti na bei ya zamani 5k

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
 
Huu ni ubora au kuonyesha kiwango cha chini kabisa cha uelewa?
Hapo nibora hata angesema naomba nisijibu hilo swali nijikite kwenye maswali yanayohusiana na maendeleo.
 
Huu ni ubora au kuonyesha kiwango cha chini kabisa cha uelewa?
Hapo nibora hata angesema naomba nisijibu hilo swali nijikite kwenye maswali yanayohusiana na maendeleo.
hahahaaa Bashite ni Bashite tu
 
Ndio wale wale wa onesha kitambulisho anaonesha bastola
 
Jamaa yuko kwenye anga nyingine kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…