mwandishi: hebu tueleze mh RC ilikuwaje ukavamia Clouds Media
DAB: tumesikiliza kero za wananchi na tumekubaliana kupunguza bei ya maji kuanzia sasa unit moja itakuwa 1k tofauti na bei ya zamani 5k
Huu ni ubora au kuonyesha kiwango cha chini kabisa cha uelewa?
Hapo nibora hata angesema naomba nisijibu hilo swali nijikite kwenye maswali yanayohusiana na maendeleo.
Huu ni ubora au kuonyesha kiwango cha chini kabisa cha uelewa?
Hapo nibora hata angesema naomba nisijibu hilo swali nijikite kwenye maswali yanayohusiana na maendeleo.