Anapiga chumaAisee mbona ni baunsa sana
Eti kama hutumii akili sehemu za siri zitatumika sana? naomba unijibu mzee mwenzanguHao wazee wanapiga salute ROHO ZINAWAUMA.....ama kweli kama hukusumbua akili ujanani uzeeni utatumikisha mwili
Bashite anaruhusiwa kwa kuwa yeye yuko juu ya sheria!Kwahiyo wakuu wa mikoa wanaruhusiwa kuvaa tshet na jinsi wawapo kaxin?