Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Waziri wa TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa amesema kuwa baadhi ya sekta muhimu nchini mfano ile ya afya isingeweza kupitia mabadiliko makubwa kama yaliyopo sasa kama tozo sizingekuwepo.
Ametolea mfano wa ujenzi wa vituo vipya vya afya 234 ambayo vimekamilishwa kupitia tozo ya miamala ya simu, sasa Serikali inajipanga kupeleka dawa na vifaa tiba ili vianze kuhudumia watanzania.
Aidha, ujenzi wa majengo ya wagonjwa wa nje, maabara, majengo ya wazazi pamoja na huduma zingine muhimu zimefanikisha kusogeza huduma hizi karibu na wananchi. Pia, watumishi wa afya 7612 wameajiriwa.
Sehemu zingine zilizonufanika ni sekta ya afya ambayo imeweza kuruhusu watoto wasome bure kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha sita.
Ametolea mfano wa ujenzi wa vituo vipya vya afya 234 ambayo vimekamilishwa kupitia tozo ya miamala ya simu, sasa Serikali inajipanga kupeleka dawa na vifaa tiba ili vianze kuhudumia watanzania.
Aidha, ujenzi wa majengo ya wagonjwa wa nje, maabara, majengo ya wazazi pamoja na huduma zingine muhimu zimefanikisha kusogeza huduma hizi karibu na wananchi. Pia, watumishi wa afya 7612 wameajiriwa.
Sehemu zingine zilizonufanika ni sekta ya afya ambayo imeweza kuruhusu watoto wasome bure kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha sita.