Bashungwa- " Tuko tayari kufia 'site' kuliko kumuangusha Rais". Huwa wanatamka haya Kwa kulinda Kibarua au Hofu tu?

Bashungwa- " Tuko tayari kufia 'site' kuliko kumuangusha Rais". Huwa wanatamka haya Kwa kulinda Kibarua au Hofu tu?

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Wakuu tuendelee kuchapa Kazi..

Naomba kuuliza hivi kutamka maneno kama hayo inakuwa ni kuhofia kutumbuliwa au kuna kingine?

Haya maneno yalikuwa yanatamkwa Sana kumpamba Jiwe sasa sijui kama na awamu hii inayafurahia..

Hizo lugha ni kuonyesha Utukufu kwa Binadamu badala ya Mungu.

Tuwe na akiba ya maneno, it is too much 👇

Screenshot_20220802-135542.png
 
Huyu Bashungwa huwa anamponda hatoshi kwenye hiyo nafasi yake, sasa amewaambia yuko tayari kufia site, badala ya kumpongeza kwa kujituma kwake, unaendelea kumponda anamsujudia bosi
 
Wakuu tuendelee kuchapa Kazi..

Naomba kuuliza hivi kutamka maneno kama hayo inakuwa ni kuhofia kutumbuliwa au kuna kingine?

Haya maneno yalikuwa yanatamkwa Sana kumpamba Jiwe sasa sijui kama na awamu hii inayafurahia..

Hizo lugha ni kuonyesha Utukufu kwa Binadamu badala ya Mungu..

Tuwe na akiba ya maneno,it is too much 👇
Nafasi zinazoenda kuwa wazi soon ni Ile ya Nishati na Fedha.

Usimsagie kunguni jamaa Wakt majipu yaliyoiva yapo peupe.
 
Wakuu tuendelee kuchapa Kazi..

Naomba kuuliza hivi kutamka maneno kama hayo inakuwa ni kuhofia kutumbuliwa au kuna kingine?

Haya maneno yalikuwa yanatamkwa Sana kumpamba Jiwe sasa sijui kama na awamu hii inayafurahia..

Hizo lugha ni kuonyesha Utukufu kwa Binadamu badala ya Mungu..

Tuwe na akiba ya maneno,it is too much 👇
73277050_139285434118507_3215921951893618688_n.jpg


Mwenye akili angesema kuwaangusha watanzania wenzangu wanaolipa kodi
 
Back
Top Bottom