Huyo shemeji yako ni chizi miwaya, umeshapigwa chini, rafiki nae kajipanga hapo hapo. Kwanini hakai akatafakari kama huyo jamaa anamatatizo maana hata respect hana ya kuwachanganya yeye na rafiki yako. Maana jamaa kaona wote ni cheap ndio maana awepanga hivyo.
Kama anajipenda na kujiheshimu zaidi, kuomba kurudiana nae ni sawa na recipe for disaster!