Kichupa Steven
Member
- Jul 4, 2019
- 10
- 11
Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa Nana Askari polisi kwamadai kuwa Moja wa abaria wake anahofiwa kuwa na Virus vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakunaAbiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
Uzi upo kwenye jukwaa sahihi ?Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa Nana Askari polisi kwamadai kuwa Moja wa abaria wake anahofiwa kuwa na Virus vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakunaAbiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
ID yako ya zamani ilikuwa ipi?Uzi upo kwenye jukwaa sahihi ?
Ndio nimejiunga mwaka huu. Siku za nyuma sikuwa na ID.ID yako ya zamani ilikuwa ipi?
Nilitaka nipige sound lakini nikaona bora kwanza niwe na uhakika kama weye ni mpya au hawa tulokwisha watongoza nikaaibika bureNdio nimejiunga mwaka huu. Siku za nyuma sikuwa na ID.
Vip mkuu kuna tatizo ?
Nakushauri ufute hayo mawazo ya kutaka kutongoza.Nilitaka nipige sound lakini nikaona bora kwanza niwe na uhakika kama weye ni mpya au hawa tulokwisha watongoza nikaaibika bure
Umeniita chali wako, weye Me?Nakushauri ufute hayo mawazo ya kutaka kutongoza.
Halafu usidanganywe na avatar chalii yangu
Dume la mbegu haswaaaaUmeniita chali wako, weye Me?
Kwa kuweka avatar hiyo, wengi ila siyo mimi, watakuona chakulaDume la mbegu haswaaaa
Everyone is entitled to his or her opinion.Kwa kuweka avatar hiyo, wengi ila siyo mimi, watakuona chakula
Dad who is mom is willing to be a chakula. Keep it up mashefa wapo wamejaa JFEveryone is entitled to his or her opinion.
By the way one's opinion ain't my reality, dwag.
Ni Mmoja wa abiria Tangu saa 8 Mchana Hadi sasa 11:17 jioni Bado tumekwama Hapa Upimaji wa Joto umemalizika Tunangoja Maamuzi ya Wataalamu wa Afya Ni Hapa Tinde Dispensary ndani ya Basi la Bilo SportsUngefafanua zaidi kama upo eneo la tukio.
Amehofiwa na abiria wenzie ndo wakatoa taarifa polisi au hapo Tinde kuna upimaji wa Corona siku hizi?
KaushaDad who is mom is willing to be a chakula. Keep it up mashefa wapo wamejaa JF
Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa Nana Askari polisi kwamadai kuwa Moja wa abaria wake anahofiwa kuwa na Virus vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakunaAbiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
Ungefafanua zaidi kama upo eneo la tukio.
Amehofiwa na abiria wenzie ndo wakatoa taarifa polisi au hapo Tinde kuna upimaji wa Corona siku hizi?
Poleni sana.Sasa Bado tupo Kizuizini hatuna Msaada Twangojea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga
Hapa Tinde
Ndani ya Basi la Bilo Sports