Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

Mbona habari nusu nusu? Hatimaye ikawaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Madaktari na timu ya Kupambana na Corona kutoka Kituo Cha Afya Tinde walitupima viwango vya Joto Abiria wote na Kisha Kujulisha Kamati ya Ufuatiliaji wa Corona ambapo walijadili kwa Muda Majira ya saa 1:15 Jioni Afisa mwenyewe mamlaka Alitoa Kibari Cha Kuendelea na Safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…