Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,578
- 1,894
Ni gari namba T683DZE aisee kama mmepewa mafunzo huko kazini basi mmeyaelewa vyema maana TV mmeweka sauti ya chini kiasi kwamba abiria hata kusinzia unaweza kusinzia na kuifanya safari yako kuwa murua kabisa.
Screen za tv zipo saba lakini utulivu ndani ya bus upo wa kutosha. Mabasi mengine sasa hivi ningekoma kwa sauti za juu za kina Mkojani na Ngoma Nagwa au bongo fleva bila kusahau muvi za kutafsiriwa kwa kiswahili.
Kuna haja baadhi ya makampuni yaige utamaduni huu maana abiria tulio wengi tunapenda utulivu tuwapo safarini.
NB: Sina interest zozote za kibiashara au kuwaponda wengine ila panapobidi kutoa sifa tunatoa na panapo mapungufu tukosoe kwa dhamira ya kujenga zaidi.
Mimi ni abiria mwandamizi tu
Screen za tv zipo saba lakini utulivu ndani ya bus upo wa kutosha. Mabasi mengine sasa hivi ningekoma kwa sauti za juu za kina Mkojani na Ngoma Nagwa au bongo fleva bila kusahau muvi za kutafsiriwa kwa kiswahili.
Kuna haja baadhi ya makampuni yaige utamaduni huu maana abiria tulio wengi tunapenda utulivu tuwapo safarini.
NB: Sina interest zozote za kibiashara au kuwaponda wengine ila panapobidi kutoa sifa tunatoa na panapo mapungufu tukosoe kwa dhamira ya kujenga zaidi.
Mimi ni abiria mwandamizi tu