Basi la Hood lapata ajali Kitonga

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">

</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
Basi la kampuni ya Hood limegongana uso kwa uso na gari la mizigo (Canter) katika eneo la Kitonga katika barabara kati ya lringa na Morogoro juzi majira ya mchana, hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kufa katika ajali hiyo.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->

<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Canter lililogongana na basi likiwa bondeni.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Baadhi ya abiria wa basi wakiliangalia gari hilo la mizigo likiwa bondeni.

</td></tr></tbody></table>
 
Yale maeneo hayana sight distance kubwa, ni kona kona fupifupi sana, na mbaya zaidi huwa madereva wanakimbia sana maeneo hayo, hivyo mi sishangai kwa tukio la hivo!
Mungu saidia waathirika!
 
Ukiangalia uharibifu jkwenye basi, I doubt if kweli yaligongana uso kwa uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…