yaani simba kwa kuendekeza ushirikina hawajambo, onaaa sasaaa mashabiki maandazi na wanachama walikuwa watolewa naniii ili litim lao la ovyo ovyo lishindee..................
Kafara mzee babaMashabiki wa Simba hupata sana ajali sijui shida nini.
Mashabiki wa Simba hupata sana ajali sijui shida nini.
Miaka ya nyuma aliyekua mwenyekiti wa mikia mzee juma salum alipata ajali na kufa akiwa anatokea dodoma,miaka ya juzi mafisango alipata ajali na kufa,mwaka juzi mashabiki wa simba wa tawi la mpira pesa wakiwa njiani kuelekea shinyanga kuangalia mechi ya mikia walipata ajali na baadhi yao kufariki dunia,mwaka jana jonas mkude alipata ajali akitokea dodoma kwenye mchezo wa fainali ya fa kati ya mikia na mbao,mwaka huu adam salamba mchezaji wa mikia alipata ajali na gari yake aina ya toyota crown kuharibika,na hii iliotokea huko zambia ndio yale yale yasemwayoKuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
KafaraMashabiki wa Simba hupata sana ajali sijui shida nini.
Shusha povuKuna mijitu inaishi zama za giza. Eti kafara my foot. Huyu mjinga wanadamu wenzako wanapata ajali unahusisha na upumbavu wako na uvivu wa kufikiri.
Matambiko ya damu mkuuMashabiki wa Simba hupata sana ajali sijui shida nini.
Private Mtema naye.Na kuna kiongozi wao akiitwa Ba Mchawi.Miaka ya nyuma aliyekua mwenyekiti wa mikia mzee juma salum alipata ajali na kufa akiwa anatokea dodoma,miaka ya juzi mafisango alipata ajali na kufa,mwaka juzi mashabiki wa simba wa tawi la mpira pesa wakiwa njiani kuelekea shinyanga kuangalia mechi ya mikia walipata ajali na baadhi yao kufariki dunia,mwaka jana jonas mkude alipata ajali akitokea dodoma kwenye mchezo wa fainali ya fa kati ya mikia na mbao,mwaka huu adam salamba mchezaji wa mikia alipata ajali na gari yake aina ya toyota crown kuharibika,na hii iliotokea huko zambia ndio yale yale yasemwayo
Mafisango na wale waliofariki Tazara wakitoka MisriMatambiko ya damu mkuu
Hawa jamaa kwenye sector ya uchawi wako vizuri sanaPrivate Mtema naye.Na kuna kiongozi wao akiitwa Ba Mchawi.